Hii siyo tetesi , ni habari kamiliTundu Lissu alipohojiwa kwenye Hardtalk watazamaji zaidi ya milioni 80 duniani kote walimfuatilia na kutazama kipind.
Kipindi cha dakika 45,kinachorushwa na kituo cha runinga cha ITV superbrand Kiki fanya mahojiano na Tundu Lissu wa CHADEMA,kimevunja record kwa KUTAZAMWA na watazamaji wengi zaidi kuliko vyote ndani na nje ya Tanzania.
Tundu Lissu ni hazina ya nchi hii kwann asiwe Rais?
mbona Magufuli anahojiwa kila siku TBC lakini hakuna watazamaji ?Acha kuwajaza upepo, Magufuli anamfunika Lissu wenu kwa kasi ya radi.
Tundu Lissu alipohojiwa kwenye Hardtalk watazamaji zaidi ya milioni 80 duniani kote walimfuatilia na kutazama kipind.
Kipindi cha dakika 45,kinachorushwa na kituo cha runinga cha ITV superbrand Kiki fanya mahojiano na Tundu Lissu wa CHADEMA,kimevunja record kwa KUTAZAMWA na watazamaji wengi zaidi kuliko vyote ndani na nje ya Tanzania.
Tundu Lissu ni hazina ya nchi hii kwann asiwe Rais?
Fuatilia vizurimbona Magufuli anahojiwa kila siku TBC lakini hakuna watazamaji ?
Star tv bado wanajitahidi kutunza weredi
ITV na STAR Tv ndio kubwa nchini,.
Star ni ya KADA aliyetoswa, Diallo, hawezi mpa airtime LISSU.
Saiz hatukubali kuibiwa tunamhitaji lisuNarudia tena, Magufuli hawezi kushinda kwenye Ballot...Labda waibe kama ilivyo desturi yao "Wanakharamu".
Record ya Magufuli ndio funga kazi (yeye Magufuli ameshaombwa kuwa raisi katika nchi zaidi ya 100)Acha kuwajaza upepo, Magufuli anamfunika Lissu wenu kwa kasi ya radi.
Acha kuandika ujinga wewe, watu wenye akili timamu hawawezi kumuomba Magufuli awe hata mwenyekiti wa Kijiji.Record ya Magufuli ndio funga kazi (yeye Magufuli ameshaombwa kuwa raisi katika nchi zaidi ya 100)
Wajifanye wanajaribu ili tukusanye takwimu upyaHizo takwimu umetoa wapi?
Nyie mchele mchele tu, mtaibiwa na mtatulia, hakuna chochote mtakachokifanya.Saiz hatukubali kuibiwa tunamhitaji lisu
Tutumie njia gani?Saiz hatukubali kuibiwa tunamhitaji lisu
Manina saiz msikalili maisha tumeichoka fisiemu na wanufaikaji wake mlio wachache na kusahau watz tulio wengiNyie mchele mchele tu, mtaibiwa na mtatulia, hakuna chochote mtakachokifanya.
Kulinda kura kwa kujitoa kwa loloteTutumie njia gani?
Ccm ni chama kinachojali maslahi mapana ya taifa, msishabikie vyama vya kikanda kama Chadema.Manina saiz msikalili maisha tumeichoka fisiemu na wanufaikaji wake mlio wachache na kusahau watz tulio wengi
Diallo alikuwa afilisiwe na Jiwe, kaanza kujirudi , hasa ni yule mwanae anaitwa ROBERT ndiye anamsaidia .Star tv bado wanajitahidi kutunza weredi