Aloipndisha ni nani wenu?Ccm ni chama kinachojali maslahi mapana ya taifa, msishabikie vyama vya kikanda kama Chadema.
Kuonyesha ccm tupo serious tutawaletea Dikteta John ili ainyooshe nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aloipndisha ni nani wenu?Ccm ni chama kinachojali maslahi mapana ya taifa, msishabikie vyama vya kikanda kama Chadema.
Kuonyesha ccm tupo serious tutawaletea Dikteta John ili ainyooshe nchi.
Kwanini mgombea wa ccm hastahili kupewa tena kura zetu?Siwezi ichagua ccm mkuu mie naichagua lisu 2020 kura yangu imenitesa miaka 5 siwezi rudia kosa
Unaharakisha wapi mkuuAloipndisha ni nani wenu?
Ni yeye 2020 ajira ajira saiz watoa kwa makada wao tu ,unambiwa tumeni maombi mnatuma wanaochaguliwa ni makada wa ccm walio na kadi za chama chao kwa kupitia wenye viti kupiga simu wizara husika na kutaja namba za kadi ya chama ya muomba ajira tunataka lisu akiingia atumie mfumo alio utumia kikwete wizara iajiri kulingana na majina walionayo wizarani na kulingana na mwaka wa kuhitimuKwanini mgombea wa ccm hastahili kupewa tena kura zetu?
Sababu za kutompa kura zetu mgombea wa ccm ni hizi zifuatazo.
1. Mauaji ya raia wasio Na hatia,
2. Umeendesha nchi kikabila na kikanda,
3. Umeshiriki katika ufisadi wa kununua ndege nk kama sio kweli tupe mikataba ya ununuzi.
4. Umewatesa sana waliokukosoa mfano hai TUNDU LISU na MDUDE CHADEMA.
5. 7000 wanafunzi wa UDOM aliwafukuza,Kwanini mgombea wa ccm hastahili kupewa tena kura zetu?
Sababu za kutompa kura zetu mgombea wa ccm ni hizi zifuatazo.
1. Mauaji ya raia wasio Na hatia,
2. Umeendesha nchi kikabila na kikanda,
3. Umeshiriki katika ufisadi wa kununua ndege nk kama sio kweli tupe mikataba ya ununuzi.
4. Umewatesa sana waliokukosoa mfano hai TUNDU LISU na MDUDE CHADEMA.
UtopoloKwanini mgombea wa ccm hastahili kupewa tena kura zetu?
Sababu za kutompa kura zetu mgombea wa ccm ni hizi zifuatazo.
1. Mauaji ya raia wasio Na hatia,
2. Umeendesha nchi kikabila na kikanda,
3. Umeshiriki katika ufisadi wa kununua ndege nk kama sio kweli tupe mikataba ya ununuzi.
4. Umewatesa sana waliokukosoa mfano hai TUNDU LISU na MDUDE CHADEMA.
Mtahangaika sana! Mpelekeni makumbusho ili watalii wawe wanaenda kumwangalia msaliti namba moja TZ mtatengeneza pesa nyingi sana wanasaccos badala ya kila mkimaliza mkutano kutembeza bakuli la omba omba.Tundu Lissu alipohojiwa kwenye Hardtalk watazamaji zaidi ya milioni 80 duniani kote walimfuatilia na kutazama kipind.
Kipindi cha dakika 45,kinachorushwa na kituo cha runinga cha ITV superbrand Kiki fanya mahojiano na Tundu Lissu wa CHADEMA,kimevunja record kwa KUTAZAMWA na watazamaji wengi zaidi kuliko vyote ndani na nje ya Tanzania.
Tundu Lissu ni hazina ya nchi hii kwann asiwe Rais?
Manina saiz msikalili maisha tumeichoka fisiemu na wanufaikaji wake mlio wachache na kusahau watz tulio wengi
Kada unakalia chandaKamanda jiandae kuolewa!
Kwakweli kamongo tumbo joto!Mtesi anaumia roho, ina muuma kuona muujiza anadunda na anafunga nyomi bila wasanii.