Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hamna uthubutu huoKulinda kura kwa kujitoa kwa lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna uthubutu huoKulinda kura kwa kujitoa kwa lolote
Masilahi mnayaona ninyi ambao ni uzao wa ccm Ila wananchi wa kawaida hatuoni tambueni hilo na huo ndio ukweliCcm ni chama kinachojali maslahi mapana ya taifa, msishabikie vyama vya kikanda kama Chadema.
Kuonyesha ccm tupo serious tutawaletea Dikteta John ili ainyooshe nchi.
Show Kali mtaiona term hii mkuu raia tumechokaHamna uthubutu huo
Jinsi maelfu ya wananchi wazalendo wanavyohudhuria mikutano ya dikteta uchwara ni ishara kwamba anakubalika na watu wengi sana.Masilahi mnayaona ninyi ambao ni uzao wa ccm Ila wananchi wa kawaida hatuoni tambueni hilo na huo ndio ukweli
Ulimsikia Sirro?Kulinda kura kwa kujitoa kwa lolote
Tundu Lissu alipohojiwa kwenye Hardtalk watazamaji zaidi ya milioni 80 duniani kote walimfuatilia na kutazama kipind.
Kipindi cha dakika 45,kinachorushwa na kituo cha runinga cha ITV superbrand Kiki fanya mahojiano na Tundu Lissu wa CHADEMA,kimevunja record kwa KUTAZAMWA na watazamaji wengi zaidi kuliko vyote ndani na nje ya Tanzania.
Tundu Lissu ni hazina ya nchi hii kwann asiwe Rais?
Subiri tuone kama kuna mtu ataweka hata pua yake, so far tunaendelea kujipatia wabunge wanaopita bila kupingwa kila kukicha.Show Kali mtaiona term hii mkuu raia tumechoka
Hata Mimi nauzuria sana Ila huwa naenda kusikiliza ahadi atoazo naona hakuna jipya sana naishia kupata kuona wasanii tu nakuburudika then naondoka na moja kichwani 28/10/2020 tutaelewana tuJinsi maelfu ya wananchi wazalendo wanavyohudhuria mikutano ya dikteta uchwara ni ishara kwamba anakubalika na watu wengi sana.
Sirro anawapiga mikwara mapimbi kama weweUlimsikia Sirro?
Usipoteze muda na kura yako kuchagua ccmHata Mimi nauzuria sana Ila huwa naenda kusikiliza ahadi atoazo naona hakuna jipya sana naishia kupata kuona wasanii tu nakuburudika then naondoka na moja kichwani 28/10/2020 tutaelewana tu
Ana Msafara wa magari 60.Jinsi maelfu ya wananchi wazalendo wanavyohudhuria mikutano ya dikteta uchwara ni ishara kwamba anakubalika na watu wengi sana.
Tutaelewana ngoja muda ufikeUlimsikia Sirro?
Kwa hesabu yako hawafiki watu 7000Ana Msafara wa magari 60.
Gari moja ina abiria 4
60 * 4 = 240 watu
Mikoa yote y Jiarani viongozi wa chama na serikali lazma waende inakuwa 500 watu.
Shule, vyuo na walimu wote wanakazimishwa kwenda= watu 2000.
Mwisho wa siku watu 7,000 wote unakuta ni waliosombwa na kulazimishwa tu kwenda
Mimi sio pimbi mkuu...nilikuwa najaribu kujua msimamo wetu katika kulinda kura zetu!Sirro anawapiga mikwara mapimbi kama wewe
Sijamalizia hesabu, wanaobaki ni wale wanaobebwa na malori.Kwa hesabu yako hawafiki watu 7000
Tuombe kheri! Na tumuombee mkombozi afya njema!Tutaelewana ngoja muda ufike
Siwezi ichagua ccm mkuu mie naichagua lisu 2020 kura yangu imenitesa miaka 5 siwezi rudia kosaUsipoteze muda na kura yako kuchagua ccm
HahahahTundu Lissu alipohojiwa kwenye Hardtalk watazamaji zaidi ya milioni 80 duniani kote walimfuatilia na kutazama kipind.
Kipindi cha dakika 45,kinachorushwa na kituo cha runinga cha ITV superbrand Kiki fanya mahojiano na Tundu Lissu wa CHADEMA,kimevunja record kwa KUTAZAMWA na watazamaji wengi zaidi kuliko vyote ndani na nje ya Tanzania.
Tundu Lissu ni hazina ya nchi hii kwann asiwe Rais?
Tunaomba evidence bwanaTundu Lissu alipohojiwa kwenye Hardtalk watazamaji zaidi ya milioni 80 duniani kote walimfuatilia na kutazama kipind.
Kipindi cha dakika 45,kinachorushwa na kituo cha runinga cha ITV superbrand Kiki fanya mahojiano na Tundu Lissu wa CHADEMA,kimevunja record kwa KUTAZAMWA na watazamaji wengi zaidi kuliko vyote ndani na nje ya Tanzania.
Tundu Lissu ni hazina ya nchi hii kwann asiwe Rais?
Mtesi anaumia roho, ina muuma kuona muujiza anadunda na anafunga nyomi bila wasanii.Tuombe kheri! Na tumuombee mkombozi afya njema!