Eagle girl
JF-Expert Member
- May 1, 2024
- 299
- 462
Full comfusion na maigizoSasa aliyepata dhamana kapewa na hiyo mahakama ambayo hawakutakiwa kujibu na haina mamlaka kusikiliza kivipi? Kapewaje dhamana? Kimyakimya bila kuzungumza?
Mbona mwingine kapewa dhamana na mahakama hiyohiyo isiyo na mamlakaCommital proceeding
Halali unaijua Shehe wangu? š¼Jifariji tu hivyohivyo kuna madogo tupo nao kwenye biashara wanapesa ndefu mno za halali
acha upuuz, yaani watu wamekamatwa, wamehojiwa na kufikishwa mahakamani halafu wewe unasema magumashi.Hao waliotajwa ni magumashi Tu hakuna mmiliki hapo hata hayo majina ni fake bado... mmiliki wa jengo anajulikana na yupo mtaani anadunda Tu
Kwani hauwezi kurithi?Na mimi nimewaza hilo mkuu.mm na 35 plus sina hata vyumba 3 na sijui ntavipata lini kama kula kwenyewe kwa shida
Jinga hiloacha upuuz, yaani watu wamekamatwa, wamehojiwa na kufikishwa mahakamani halafu wewe unasema magumashi.
basi wataje wewe
Huoni kuna utofauti mkuu, dhamana hata kituo cha polisi unapewa. Penda kujisomea uongeze maarifa.Mbona mwingine kapewa dhamana na mahakama hiyohiyo isiyo na mamlaka
Mambo ya hearsays tu,Kama kawaida yenu wadanganyikaMmiliki anaitwa Sostele kama sikosei, hawa waliotajwa ni wamiliki waliopita. Huyu Sostele anamiliki.kama.ghorofa 6 kkoo.
Halal naijua sana ni ile isiyomchukiza Mwenyezi MunguHalali unaijua Shehe wangu? š¼
I can't waste my precious time arguing with you, pointlessMambo ya hearsays tu,Kama kawaida yenu wadanganyika
If stupid one like you have precious time,nobody have worthless time..I can't waste my precious time arguing with you, pointless
Suck on it.If stupid one like you have precious time,nobody have worthless time..
Vulgarity mind
Hee kumbe vifo vilifika 31? mungu awarehemu.Ilidaiwa kwamba, Washitakiwa hao kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu yao na kusababisha vifo vya Watu
Na watashindishwa kesi kama Afande na yule mkuu wa mkoa mla Tigo.Hao waliotajwa ni magumashi Tu hakuna mmiliki hapo hata hayo majina ni fake bado... mmiliki wa jengo anajulikana na yupo mtaani anadunda Tu
Yaleyale ya abunuwasiWamiliki wawili wa jengo la ghorofa lililoporomoka Kariakoo, Dar es salaam wamepelekwa mahabusu baada ya kukosa dhamana huku mmoja wao ambaye ni Leondela Mdete (49) akipata dhamana katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Waliokosa dhamana ni Zenabu Islam (61), Mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), Mkazi wa llala ambapo kwa pamoja walipewa masharti ya kuwa na Wadhamini wawili kila mmoja wenye barua za utambulisho, kitambulisho cha Taifa na watatakiwa kusaini bondi ya shilingi milioni tano kwa kila mmoja.
Wafanyabiashara hao wamefikishwa Mahakamani hapo leo na kusomewa mashtaka yao mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini ambapo Wakili Mwandamizi wa Serikali Adolfu Lema akisaidiana na Neema Mwanga na Erick Kamala walidai kuwa Washitakiwa hao walitenda kosa hilo Novemba 16 mwaka huu Mtaa wa Mchikichi na Kongo, jijini Dar es salaam.
Ilidaiwa kwamba, Washitakiwa hao kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu yao na kusababisha vifo vya Watu 31 ambapo baada ya kuwasomea mashitaka hayo, Hakimu Mhini aliwaeleza Washitakiwa kwamba hawatakiwi kujibu lolote kwasababu Mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo huku upande wa Jamhuri ukidai kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika hivyo ukaiomba Mahakama ipange tarehe nyingine ya kutajwa, kesi imeahirishwa hadi December 12 mwaka huu.
Pia Soma: Wamiliki jengo lililoporomoka Kariakoo wafikishwa Mahakamani Kisutu
Umri haumzui mtu kumuliki ukiwa na roho mbaya ndio unamalizkia kuwa mchawi kama wewewengine wanafanyaga kazi gani? miaka 38 ana gorofa kariakoo, wengine ndo kwanza wanahangaika na madalali kimbiji