Uchaguzi 2020 Wana ACT-Wazalendo wamuandikia Barua Msajili wa Vyama vya Siasa kumwambia Maalim na Zitto wamepoteza sifa za kuwa wanachama wa ACT-Wazalendo

Kipi kinamzuia Membe kufanya kampeni hadi sasa, kama sio anatumika na ccm kuchelewesha upinzani?
Kumbe jibu unalo hafanyi kampeni hana mvuto [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Membe atagawa kura za upinzani kwa mvuto gani alionao?
Sasa Kama hana mvuto anatumika Vipi kuchelewesha upinzani
Kama Hana mvuto ana haja gani kufanya kampeni
 

Kwani hapakuwahi kuwepo Serikali ya maridhiano/mseto huko Zanzibar na Maalimu Seif kupewa Cheo sikumbuki vizuri kama ni cha umakamu au nini sijui? Je, wewe hilo umelisahau ndio maana unamchukulia Maalimu Seif as if ni mkurupukaji!!
 
Kuelekea dakika ya 89

Hili goli limefungwa dakika imeenda ya 80
Membe jasusi kweli kweli dakika 89 bado lakini naona alishaanza mashambulizi mapema ndani ya dakika 75 anachungulia nyavu
 
These n!99as are outright NUTS.

Nikukaribishe ndani kwangu halaf uje kusema mimi si baba mwenye nyumba?..nakuhakikishia hio ndo siku ungekifunza kutofautisha ncha ya kisu na ncha ya mkuki

Huyu waziri wa zamani anajishusha sana. Hivi ni hela ya kampeni alikosa au ni kibaraka wa mabepari wa kiafrika?
 
Kumbe jibu unalo hafanyi kampeni hana mvuto [emoji116] [emoji116] [emoji116] Sasa Kama hana mvuto anatumika Vipi kuchelewesha upinzani
Kama Hana mvuto ana haja gani kufanya kampeni

Ccm walitegemea cdm watampokea Membe, au kuungana na ACT yake ili wamtumie. Ila sasa hivi wanamtumia kutaka kumtoa Seif kwenye reli.
 
Ccm wanahangsika sana

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Kwani hapakuwahi kuwepo Serikali ya maridhiano/mseto huko Zanzibar na Maalimu Seif kupewa Cheo sikumbuki vizuri kama ni cha umakamu au nini sijui? Je, wewe hilo umelisahau ndio maana unamchukulia Maalimu Seif as if ni mkurupukaji!!
Serikali ya maridhiano ipo mpaka Leo. Huyu Maalim Seif si alisusa mpaka Leo cheo cha makamu WA kwanza wa RAIS kipo wazi
Sasa Kama sio ukurupukaji ni nini mkuu
 
Comments ziko humu zinaonyesha kabisa kwamba wapinzani wakipewa nchi ndiyo watakuwa wavunjaji wakubwa Wa katiba kuliko watawala waliopo.

Bora zimwi likujualo kuliko hilo la pembeni
 
Ccm walitegemea cdm watampokea Membe, au kuungana na ACT yake ili wamtumie. Ila sasa hivi wanamtumia kutaka kumtoa Seif kwenye reli.
Huyo Membe wanajuana na Zito maana Membe ni kinara wa kuanzishwa hiyo ACT enzi za JK. Maalim Seif ndio hajui kinachoendelea humo ACT, lakini Zito na Membe wanajua kila kitu kuhusu uwepo wa hicho chama.
Wanaotaka kumtoa kwenye reli Maalim Seif ni Membe Wakishirikiana na zitto si ndio mkuu
Sasa inawezekanaje
Huku zitto akiwa anawahitaji wa Zanzibar kujenga chama chao na Membe [emoji116]
Sasa inawezekanaje zitto aweze kujenga chama kwa kutumia wa Zanzibar huku na yeye akimuhujumu Maalim Seif
Nipige shule hapo mkuu
 
Poa tu ila wajue tulipofika hakuna hatua zo zote zitachukuliwa. Kuondoa picha ya Zitto kwenye karatasi ya tume Kigoma na Maalim kule Zenji sio rahisi kiivyo zaidi niombe Lissu na Maalim wapite basi. msajili labda awatimue ila Act bila hao wawili bora Cuf
 
Membe na JK ndio wenye chama kwa taarifa yako.
Dah! Kweli Maalim seifu kilaza pamoja ukongwe wake kwenye siasa ila alishindwa kujua kabisa kuwa ACT ni chama cha Membe na Kikwete kiasi hadi anajiunga na chama ambacho kumbe ni cha wana ccm.

Ila Lissu aliwahi kusema kuwa ACT sio wapinzani,Chadema na CUF tu ndio wapinzani ila watu hawakumsikiliza.
 
Ccm walitegemea cdm watampokea Membe, au kuungana na ACT yake ili wamtumie. Ila sasa hivi wanamtumia kutaka kumtoa Seif kwenye reli.
Seifu keshapewa ahadi ya cheo ana shida gani? Ikulu hauendi hivi hivi.
 
Wapumbavu kweli

Wakati watu wanaunda chama wao walikuwa wapi?

Wapuuzi wakubwa Sana watu wamekipigania chama from the scratch leo mnaleta upuuzi wenu baada ya kununuliwa na CCM.
Na baada ya mchanganyo mkali ndipo mtakapo baini kwamba kumbe hata maalim seif nae si mpinzani bali ni plan B
 
Hao wanachama wa ACT wasikilizwe na msajiri wanayo malalamiko yenye tija.
 
Kwanini wamwandikie msajili was vyama vya siasa kuwavua uanachama Zitto na Maalimu? Kwanini wasitumie kamati kuu au mkutano mkuu wa chama kuwavua uongozi walamikiwa?
 
Hata kamati inapaswa ifuate katiba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…