Kibwengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 6,826
- 5,302
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Kama ishu ni kumuunga mkono lisu ilitakiwa iwe NI msimamo wa Chama Cha act WAZALENDO wote sio watu wawili..
Na isitoshe katiba yao ya ACT WAZALENDO IMESHAWABANA.
watasema nini?
Yes alikubaliMembe alikubali kumuunga mkono lisu?
mr mdudu yu a toking tu mach .em rudi usome vizur hio barua acha bayas.
pointi aut wap famba maana naona kila kipengele kime kotiwa kabisa
mim kama mwanasheria hio kes naikimbia sion lup holi popote
Ndio maana maalim amesema kwenye kikao cha kamati kuu ya chama kilishaamua na Membe alikuwepo na alikubali
Pili msajili wa vyama Hana uwezo wa kumvua mtu uanachama wa chama chochote
Chenye kuvua uanachama ni kamati kuu ya chama, Sasa hiyo kamati kuu ya chama ambayo itamvua uanachama maalim na Zito ni ipi?
Yes alikubali
Membe Hana ela, chama hakina ela, huyo Lisu mwenyewe 80% ya pesa ya kampen sio ya chadema, ni michango ya watu wa ccm ambao wanasupport siasa za upinzani
Ndio maana maalim amesema kwenye kikao cha kamati kuu ya chama kilishaamua na Membe alikuwepo na alikubali
Pili msajili wa vyama Hana uwezo wa kumvua mtu uanachama wa chama chochote
Chenye kuvua uanachama ni kamati kuu ya chama, Sasa hiyo kamati kuu ya chama ambayo itamvua uanachama maalim na Zito ni ipi?
Yes alikubali
Membe Hana ela, chama hakina ela, huyo Lisu mwenyewe 80% ya pesa ya kampen sio ya chadema, ni michango ya watu wa ccm ambao wanasupport siasa za upinzani
Na ishu sio kuwavua uanachama zito na maalim.
Swala ni KATIBA YA ACT WAZALENDO INASEMAJE KUHUSU MWANACHAMA WAO KUMUUNGA MKONO MGOMBEA MWINGINE WA CHAMA KINGINE?.
Hilo ndo swala la msingi tunalo takiwa tujadili.
Masuala ya vikao vya kamati kuu viliamua kumuunga mkono lisu.
BADO HAI MAKE SENSE.
Katiba si yao? Si walitunga wao? Sasa shida ni nn? Ishu ya ndani tu na kumaliza?
Zito alisema kura yake ni kwa Lisu, na kama unakumbuka hata Membe aliwahi kusema swala la kuungana bado wanaliongea means sio jambo jipya kwao
Membe alitumwa kuvuruga tu Hana lolote but kosa la ccm kwenye hii mission ni kuwa hawakumpa ela membe
Ni kwa kura, mark my wordsNi kweli ila sio kwa kura boss.
Kwani hujasoma katiba ya ACT wazalendo? Zitto mjanja kamwingiza Maalim Seif chaka kwa sababu katiba katunga yeye halafu ni mamluki kamtuma Maalim avunje katiba ili ajivue uanachama aindolewe kagombea.Wanatumika? Wametumwa ili waharibu kule zenj?
Kwani Membe ndo kawatuma wavunje katiba ya ACT wazalendo?Ilikuwa political suicide kumpokea Membe ACT.
Chadema hamueleweki, mnahimiza wananchi wawe wanahoji viongozi Sasa wakihoji dhidi yenu mnasema wanapewa pesa kwani Lissu anavyohoji Mambo mbalimbali nae ni buku 7 pingapinga?Yaani kipindi kama hiki kwa wale masikini wa kisiasa wasipokuwa na maisha bora basi wasubiri kufa kihoro.
Yaani chenga ni nyingi sanaa, sasa watu kama hawa wawili sijui wamekula shs ngapi do..!!
Msajili hawezi kuwafuta uanachama ila katiba yao itawafuta uanachama, ACT wazalendo walitunga hiyo katiba wenyewe.CCM kweli hali ni tete...hadi wamefikia hatua hii ha ha ha
Haya mwambieni msajili wenu awafute uanachama tuone!!
Acha kujitoa ufahamu, Membe hakutunga hiyo katii aliyetunga ni Zitto. Sasa Membe anahusikaje na maamuzi ya Zitto?Hizi ndo zile dk 89 alizosema Membe atafunga gori akitokea benchi?
ACT walifanya makosa makubwa sana kumkaribisha Membe ukisoma tu hiyo barua unaona kabisa kuna mkono wa CCM, msajili na Membe hao wanaolalamika wametumika tu
Umesoma katiba ya ACT wazalendo? Au unabwabwaja tuu?..hizo ni HILA tu.
..lakini baadhi wanaona ni ujanja na werevu.
Umesoma katiba ya ACT wazalendo?Wanapaparika tu hao Lumumba fc.
hayo sasa ni matokeo sisi tunaangalia PIFIRAC hapa kesi hio ngumu mim kama lawyer siwez kuichukua labda wawe na katiba mbili mbiliTufanye Sawa Zito na maalim wamefukuzwa eeh Hao jamaa watakuwa wabunge?
Au huyo Membe ataweza kuhudumia hiko chama?
Watu hapo wamemfata maalim na Zito, huyo Membe ameenda na wanachama wangapi?