Wana CCM ambao kazi yetu ni kuipigania CCM mitaani na mitandaoni lakini hatuteuliwi tukutane hapa

Wana CCM ambao kazi yetu ni kuipigania CCM mitaani na mitandaoni lakini hatuteuliwi tukutane hapa

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kucha kutwa sisi kazi yetu ni kupambana na wananchi wanaoibeza CCM huko mitaani na mitandaoni. Lakini miaka inaenda, mvi zinaota kichwani, nyuso zinajikunja kwa kupigwa na maisha magumu na hatuteuliwi kugombea au kupewa nyadhifa.

Ukifika wakati wa uchaguzi mkuu utasikia CCM ina wenyewe. Hapo ujue tunapigwa vijembe akina sie tusiyo na majina maarufu. Watoto wa wakubwa wanaitwa toka huko nje ya nchi wanakuja wanapewa vyeo sisi wapiga debe na wavaa ma-tshirt na kofia tupo tu.

Ewe mwana CCM mwenzangu shituka. Tunapoimba kuwa CCM ina wenyewe maana yake sisi wengine ni vibarua tu wa wenye chama chao. Kila mwaka majina ni yale yale ya wakubwa. Wengine hata kuongea hawajui lakini wamepewa ma-vyeo kwasababu tu wana damu ya wenye chama.

Sasa tuseme hapana. Tugawne mbao ikibidi.
 
Kucha kutwa sisi kazi yetu ni kupambana na wananchi wanaoibeza CCM huko mitaani na mitandaoni. Lakini miaka inaenda, mvi zinaota kichwani, nyuso zinajikunja kwa kupigwa na maisha magumu na hatuteuliwi kugombea au kupewa nyadhifa.

Ukifika wakati wa uchaguzi mkuu utasikia CCM ina wenyewe. Hapo ujue tunapigwa vijembe akina sie tusiyo na majina maarufu. Watoto wa wakubwa wanaitwa toka huko nje ya nchi wanakuja wanapewa vyeo sisi wapiga debe na wavaa ma-tshirt na kofia tupo tu.

Ewe mwana CCM mwenzangu shituka. Tunapoimba kuwa CCM ina wenyewe maana yake sisi wengine ni vibarua tu wa wenye chama chao. Kila mwaka majina ni yale yale ya wakubwa. Wengine hata kuongea hawajui lakini wamepewa ma-vyeo kwasababu tu wana damu ya wenye chama.

Sasa tuseme hapana. Tugawne mbao ikibidi.
Amieni Umoja party
 
Wenzio wanalipwa...wewe Tu ndo hawakujui
 
Back
Top Bottom