Wana CCM kataeni UHUNI uliofanyika Dodoma

Na unapopiga mayowe kama mpinzani ili u achieve nini?WENYE Chama chao wameamua unapiga mayowe kama sio upunguani ni nini?
Ungetumia muda muda wako kuchagua kundi kwenye Chama chako ungekuwa umefanya la maana.
 
Na unapopiga mayowe kama mpinzani ili u achieve nini?WENYE Chama chao wameamua unapiga mayowe kama sio upunguani ni nini?
Ungetumia muda muda wako kuchagua kundi kwenye Chama chako ungekuwa umefanya la maana.

Wenye chama akina nani wewe?. Huoni kuwa kimeporwa na kipo ktk mikono ya genge dogo tu.

Hii mada haihusu walamba posho, machawa na watafuta teuzi. Inahusu wakulima na wafanyakazi wenye chama chao.
 
Kama wewe siyo mwana CCM, NINI KINAKUUMA? Nilitarajia haya yasemwe na kuamuliwa na wana CCM wenyewe
🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿
 
Wenye chama akina nani wewe?. Huoni kuwa kimeporwa na kipo ktk mikono ya genge dogo tu.

Hii mada haihusu walamba posho, machawa na watafuta teuzi. Inahusu wakulima na wafanyakazi wenye chama chao.
Hao walioamua ndio wawakilishi wa hao wanachama wengine.Kimeporwa kutoka wapi?Uelewa wako wa mambo ni mdogo sana.Kwa hiyo Bunge likiamua jambo linakuwa limepora haki?Kwenye demokrasi kuna kitu kinaitwa representative democracy yaani demokrasia ya uwakilishi.Nilikuuliza swali ibara ipi ya katiba ya CCM imevunjwa?Hujajibu unabaki kulalama.
 
Wametumia mob psychology na group thinking, kushtukiza na kupenyeza ajenda yao.
SAHIHI

Ni sanaa ya utawala...

Pia ujuzi wa kucheza na 'akili za umma/kikundi cha watu'; utundu wa operesheni za kisaikolojia...

Hakuna 'halali' wala 'haramu' khasa katika 'jina la mchezo'; ila umma na mambo yake hulipa gharama ya (1) kuwa ama na (2) kutokuwa na "mwangaza" wakati mmoja hata mwingine...

Usimchukie mchezaji--chukia mchezo: "Mkate na Sarakasi"...

Ama, jiangazie nafsi yako na mulikia na wenzako kadiri ya hivi kuwa ni 'kheri'.

Chama cha Mapinduzi ni chama kwa ajili ya 'Mwangaza Bora' wa umma na 'siasa zake';

Watu wa Mwangaza katika umma wa Chama cha Mapinduzi ndiyo waamuzi...

Japo mtu yeyote mwenye kujua ilivyobora ni muamuzi vivyo hivyo.

Hmmm
 
Wahafidhina kule Zanzibar wamechanganukiwa kabisa, namba hazisomi, wanasema huu waliofanyiwa sio uhuuni ni ubasha, alisikia mhafidhina mmoja pale kisonge akisema "JK na kundi lake wametuekea kidole baina ya makalio"
 
Genge La Wahuni Wachache Ndani Ya Chama Ni Hatari Mno
Wahuni Hata CCM Wapo, Tuwakatae Popote Pale
Wahuni Wapo,
By Comrade Pole Pole
 
Kujibu mosi yako, nakubaliana na wewe kwamba ushauri hauna itikadi, LAKINI UJUWE kuukubali au kuukataa ushauri tikadi hutumika.
Kwa hiyo umetumia itikadi gani kuukataa ushauri huu? Ya CCM - Ujamaa na kujitegemea?

Mimi nasema "UJINGA" nao ni itikadi eti. Bila shaka umetumia hiyo...
Kujibu ishu yako ya pili, narudia, kama wana CCM wanakaa kimya juu ya kilichotoikea huku wakikipigia makofi, ACHA WAFU WAZIKANE.
Wana CCM wepi hao walikaa kimya? Hao 2000+ waliokuwa Dodoma wakashitukizwa na maamuzi haya..?

Yaani hii, ni kama ya Mbowe na CHADEMA. Anafuatwa na chawa 10 nyumbani kwake akasema, ooh nimeombwa na chama nigombee tena matokeo yake sasa anakula za uso..

CCM sio nyie 2000+ mliokuwa Dodoma. CCM ni mamilioni ya wanachama walio nje. SAMIA ITAKULA KWAKE, WEWE SUBIRI TU...
Unachoweza kufanya, kama taratibu zinaruhusu, KAWASHITAKI
Na mashitaka hayo yako kwa wananchi taratibu...
 
Sema baba
 
Wanaoweza kukataa ni CHADEMA Tu, Vijana wa CCM pale kimewapeleka Njaa. HAKUNA mwenye uwezo wa kufanya kitu
 
Katiba ya ccm inaeleza majukumu ya mkutano mkuu.
Kilichofanywa hakipo kikatiba wala kikanuni.
Kiufupi ni uhuni uliofanyika
 
Huku tuko vilaza na mafala tu, kama una akili ungechukua fomu kumng'oa madarakani mchaga
 
Reactions: Tui

Hehe bananchi bataongea maneno yote safari hii..........watu walifuraahii jamaa alivyoondoka wakajua kazi imeisha....ila kwa sasa ndo kama mambo yanaanza ........mama Abdul kajifunza na hafanyi makosa safari hii
 
Katiba ya ccm inaeleza majukumu ya mkutano mkuu.
Kilichofanywa hakipo kikatiba wala kikanuni.
Kiufupi ni uhuni uliofanyika
Elezea ibara iliyovunjwa kikatiba au kikanuni.Unaijua katiba ya CCM ya mwaka 1977?
Majukumu ya Mkutano Mkuu ni yapi?Wacha kuzungumzia usichokijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…