Wana CCM tusiwe makeyboard warriors: Tuingie mabarabarani kupinga kodi na tozo zisizohalali, kulalamika kwenye whatsapp group hakutasaidia

Wana CCM tusiwe makeyboard warriors: Tuingie mabarabarani kupinga kodi na tozo zisizohalali, kulalamika kwenye whatsapp group hakutasaidia

Serikali iliyopita ilitumia pesa vibaya nchi haina pesa lazma sisi wenyewe tufunge mkanda kujenga nchi yetu.
Mleta mada shauri tupate wapi pesa !? Vinginevyo funga domo nchi ijengwe.
Fisi ongeza sauti hujasikika wala kueleweka.
 
Habari za Muda huu wana Jfs.

Ni muda sasa wa takribani mwezi kumekuwa na introduction ya kile kinachoitwa tozo ambapo kwa mujibu wa Mh Rais Samia kupitia Waziri Wake Dr Mwigulu nchemba na wabunge wake wanadai ni kwa ajili ya solidarity funds ili kusaidia miradi mbali mbali ya kijamii kama elimu na afya.

Baada ya watanzania wengi kulalamikia njia hiyo iliyokinyume na sheria za kodi Dr Mwigulu Nchemba aliwataka wananchi kuungana kwa pamoja kufanikisha jambo hili. Na kwamba yeyote anayeona kero kuchangua maendeleo ya nchi yake ni bora aanze mapema ahamie Burundi.

Haikuishia hapo zikaja tozo za simu na miamala, wanaccm wengi kwenye mitandao ya kijamii whatsapp, twitter, instagram, facebook na telegram wamelalamika sana kupita maelezo kiasi cha kuanza kutukana mamlaka zilizoko madarakani huku wakilinganisha na mamlaka ya awamu ya tano. Kilio cha kufa na kupona kimeanza baada ya kuongeza tozo kupitia mfumo wa kununua umeme wa LUKU hapa ndio wakazidi kuchanganyikiwa.

Msingi wa kuchanganyikiwa kwao ni kwa sababu

1. Moja hawakutarajia serikali yao ambayo 90% ya viongozi wao walipita bila kupingwa kuwafanyia unyama huu.

2. Waliamini Mama ni sawa na Mwendazake hivyo ataendelea kuwadekeza

3. Waliaminishwa uchumi wa nchi uko vizuri sasa wanashangaa matozo ya nini.

4. Wanaamini mfumo ulioko madarakani sasa una lengo la kurudisha ufisadi wa wazi ( ikumbukwe ufisadi wa magufuli ulikuwa mkubwa na wa kificho sana)


Wito kwa wanaccm popote mlipo badala ya kutupigia kelele sisi ambao ni wazalendi kweli kweli na tuko tayari kuchangia maendeleo ya nchi ni vema mkapinga kwa vitendo ikiwemo kuingia mabarabarani kuonesha hisia zenu Ni haki yenu kikatiba kupinga pale haki zenu mnapohisi zinavunjwa.

Ukweli daima, unafiki kwangu mwiko. Tudumishe itikadi hii.
Kumbe hizi tozo zinawaathiri mpaka wana ccm? Mimi nilijua eti ni nyie ni special sana hamguswi kabisa na haya mambo
 
Ni kheri mwigulu ningemwacha afe pale mbeya mwaka 2015 wakati wa kampeni.
 
Nimeona juzi mtandaoni wanasema WB imeidhinisha mkopo mwingine $2.7b. Kama ni kweli,,na juzi hiyohiyo tumeambiwa deni la taifa limefikia 78t kutoka 60t aliloacha JPM.
Inasemekana JPM alikuta tunadaiwa 30t, ndani ya miaka mitano akaongeza 30t. Inamaana mama ndani ya miezi takribani mitano ameongeza 18t na hiyo ya juzi.

Wanaojua hesabu wanaweza tuambia deni letu kufika 2025 litakuwaje.
Je tutakuwa bado tunakopesheka?



Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Habari za Muda huu wana Jfs.

Ni muda sasa wa takribani mwezi kumekuwa na introduction ya kile kinachoitwa tozo ambapo kwa mujibu wa Mh Rais Samia kupitia Waziri Wake Dr Mwigulu nchemba na wabunge wake wanadai ni kwa ajili ya solidarity funds ili kusaidia miradi mbali mbali ya kijamii kama elimu na afya.

Baada ya watanzania wengi kulalamikia njia hiyo iliyokinyume na sheria za kodi Dr Mwigulu Nchemba aliwataka wananchi kuungana kwa pamoja kufanikisha jambo hili. Na kwamba yeyote anayeona kero kuchangua maendeleo ya nchi yake ni bora aanze mapema ahamie Burundi.

Haikuishia hapo zikaja tozo za simu na miamala, wanaccm wengi kwenye mitandao ya kijamii whatsapp, twitter, instagram, facebook na telegram wamelalamika sana kupita maelezo kiasi cha kuanza kutukana mamlaka zilizoko madarakani huku wakilinganisha na mamlaka ya awamu ya tano. Kilio cha kufa na kupona kimeanza baada ya kuongeza tozo kupitia mfumo wa kununua umeme wa LUKU hapa ndio wakazidi kuchanganyikiwa.

Msingi wa kuchanganyikiwa kwao ni kwa sababu

1. Moja hawakutarajia serikali yao ambayo 90% ya viongozi wao walipita bila kupingwa kuwafanyia unyama huu.

2. Waliamini Mama ni sawa na Mwendazake hivyo ataendelea kuwadekeza

3. Waliaminishwa uchumi wa nchi uko vizuri sasa wanashangaa matozo ya nini.

4. Wanaamini mfumo ulioko madarakani sasa una lengo la kurudisha ufisadi wa wazi ( ikumbukwe ufisadi wa magufuli ulikuwa mkubwa na wa kificho sana).

Wito kwa wanaccm popote mlipo badala ya kutupigia kelele sisi ambao ni wazalendi kweli kweli na tuko tayari kuchangia maendeleo ya nchi ni vema mkapinga kwa vitendo ikiwemo kuingia mabarabarani kuonesha hisia zenu Ni haki yenu kikatiba kupinga pale haki zenu mnapohisi zinavunjwa.

Ukweli daima, unafiki kwangu mwiko. Tudumishe itikadi hii.
View attachment 1902251
Mi-5 tena kwa bimkubwa
 
Nimeona juzi mtandaoni wanasema WB imeidhinisha mkopo mwingine $2.7b. Kama ni kweli,,na juzi hiyohiyo tumeambiwa deni la taifa limefikia 78t kutoka 60t aliloacha JPM.
Inasemekana JPM alikuta tunadaiwa 30t, ndani ya miaka mitano akaongeza 30t. Inamaana mama ndani ya miezi takribani mitano ameongeza 18t na hiyo ya juzi.

Wanaojua hesabu wanaweza tuambia deni letu kufika 2025 litakuwaje.
Je tutakuwa bado tunakopesheka?



Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Akiendelea na mwendo huu kwa miezi iliyobaki hadi 2025 atakopa 53.something + hizo 18 billion atavunja rekodi yaekukopa 71.something in total.
 
Back
Top Bottom