Wana CCM Tuwe na desturi ya kupitia post (Nyuzi) humu JamiiForums na kuzijibu kwa hoja

Wana CCM Tuwe na desturi ya kupitia post (Nyuzi) humu JamiiForums na kuzijibu kwa hoja

Kikwava

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
1,741
Reaction score
1,068
Husika na kichwa Cha habari hapo juu....sisi makada wa Chama Cha Mapinduzi, uzalendo wetu kwenye chama chetu Ni kujibu hoja za wapinzani na kuujuza Umma wa Watanzania juu ya Mambo ambayo yamefanywa/Yanafanywa na chama chetu Cha CCM. Tujivunie uwazi uliopo ndani ya chama chetu Cha CCM na mafanikio tuliyoyafikia, Kuna vyama toka 1992 mpaka Leo vimekuwa vikipokea fedha kutoka kwa wafadhri, Ruzuku na kuchangisha watu michango lakini bado Kuna giza nene juu ya matumizi ya fedha hzo wengine hata ofs hawana, kwahyo sisi Kama makada na walinzi wa Chama Cha Mapinduzi lazima tuwatahadharishe wananchi wasiingie mkenge tunashukru kuona umma unajua tayari, hz barabara, disp. Hosp za rufaa kila mkoa, CT scan kila mkoa, madaraja, Elimu bure, mikopo vyuo vikuu, vivuko, nk. Ni sera ya Chama Cha Mapinduzi.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu....sisi makada wa Chama Cha Mapinduzi, uzarendo wetu kwenye chama chetu Ni kujibu hoja za wapinzani na kuujuza Umma wa Watanzania juu ya Mambo ambayo yamefanywa/Yanafanywa na chama chetu Cha CCM. Tujivunie uwazi uliopo ndani ya chama chetu Cha CCM na mafanikio tuliyoyafikia, Kuna vyama toka 1992 mpaka Leo vimekuwa vikipokea fedha kutoka kwa wafadhri, Ruzuku na kuchangisha watu michango lakini bado Kuna giza nene juu ya matumizi ya fedha hzo wengine hata ofs hawana, kwahyo sisi Kama makada na walinzi wa Chama Cha Mapinduzi lazima tuwatahadharishe wananchi wasiingie mkenge tunashukru kuona umma unajua tayari, hz barabara, disp. Hosp za rufaa kila mkoa, CT scan kila mkoa, madaraja, Elimu bure, mikopo vyuo vikuu, vivuko, nk. Ni sera ya Chama Cha Mapinduzi.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
POSHO TU BILION 47 NANI ATAKUWA MZALENDO WA KULIPA KODI?
 
POSHO TU BILION 47 NANI ATAKUWA MZALENDO WA KULIPA KODI?
Hizo hela zikishatolewa Kuna ufatiliaji na ukaguzi wa Mara kwa Mara kuhakikisha zimetumika kihalali Kwenye shughuli zinazogusa maslahi ya umma wa Watanzania na adhabu Kali itatolewa na imekuwa inatolewa pale panapotokea ufujaji wa hela za umma.
 
Vp ile posho ya bln 47 humo mzee

Ova
Jua tu mipango syo Matumizi hyo hela lazima itatengenezewa miongozo ya jinzi ya kuitumia kwasabu si lazima iishe yote Ila tu itatumika kwa Mambo yanayo gusa maslahi ya watanzania. Mfano Kama kutoa huduma za clinik za kisukari na bp vijjn, labda kutoa Elimu ya biashara, labda kutoa Elimu ya mafao na kustaafu, nk
 
Hizo hela zikishatolewa Kuna ufatiliaji na ukaguzi wa Mara kwa Mara kuhakikisha zimetumika kihalali Kwenye shughuli zinazogusa maslahi ya umma wa Watanzania na adhabu Kali itatolewa na imekuwa inatolewa pale panapotokea ufujaji wa hela za umma.
Toa upumbavu hapa, Kuna mtu anaweza kushindwa kuthibitisha matumizi ya posho? Nani anaweza mkagua Waziri?
 
CCM ni chama imara Sana na tutakilinda kwa nguvu zote dhidi ya upotoshaji wowote. Pamoja mkuu
INSHALLAH 🙏🏼
CCM sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la siasa. Nyie wanachama wake hamuwezi kujibu hoja huku mitandaoni maana mnafanya siasa kwa kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola. Huku mitandaoni kwakuwa hakuna mbeleko ya vyombo vya dola ndio maana mnaishia kutepeta.
 
Mnakera sasa nyie na manguo yenu kama Viwavi Jeshi.

Siasa za maneno zimeshapitwa na wakati, siasa ni vitendo.
Hebu tuambia wewe kama mwanachama wa Chama tawala umelisaidiaje Taifa kutoka kwenye Umaskini.
Akikujibu njoo nitalipia bili zako zote za weekend hii! Anachojua yeye ni kumpigia kampeni mtoto wa asas awe mbunge! Huenda nao ni mswada kwa taifa lake!
 
Kuna vyama toka 1992 mpaka Leo vimekuwa vikipokea fedha kutoka kwa wafadhri, Ruzuku na kuchangisha watu michango lakini bado Kuna giza nene juu ya matumizi ya fedha hzo
Umekusudia serikali ya Tanzania tokea ipate uhuru mpaka leo inategemea msaada wa mabeberu na kuiba hela ya umma.
 
Tutamjibu tu kwa hekima na busara CCM ni chama chenye haiba na kinawatu wa kila rika kwahyo matusi kwetu ni mwiko, tunatanguliza heshima na utu wa kila mtu
Mngekuwa na busara na hekima tusingeona chaguzi za kishenzi na kihayawani kwa kiwango kile. Mnaigiza mna heshima na busara kwa wajinga. Lakini upuuzi wenu uko wazi mno.
 
Mnakera sasa nyie na manguo yenu kama Viwavi Jeshi.

Siasa za maneno zimeshapitwa na wakati, siasa ni vitendo.
Hebu tuambia wewe kama mwanachama wa Chama tawala umelisaidiaje Taifa kutoka kwenye Umaskini.
Kupitia sera ya Chama Cha Mapinduzi kwasasa maisha yamekuwa rahis Sana tofauti na miaka ya 70, kwa mfano hizo CT scan tulikuwa tunaziona tu kwenye movies sahz hata kakonko zipo, barabara ya dodoma iringa ilikuwa vumbi tu sahz Ni mkeka, watu walishindwa kufanya mitihani ya Taifa kwa kukosa ada sahz Elimu bure, watoto wa kike walikosa elimu kwa kupata ujauzito sahz wanarudi shule, zamani watu walikosa kujiunga na vyuo vikuu kwasabu ya uchache sahz vyuo vipo kibao, kwahyo ccm imekuwa ikigusa maisha ya kila mtu mahali alipo kwa lengo la kumrahisishia shughuli zake za kila siku...huduma za mhmbili sahz zpo mikoani
 
Mngekuwa na busara na hekima tusingeona chaguzi za kishenzi na kihayawani kwa kiwango kile. Mnaigiza mna heshima na busara kwa wajinga. Lakini upuuzi wenu uko wazi mno.
Hapana mkuu katiba yetu ya Taifa inasema kila baada ya miaka mitano utafanyika uchaguzi kwahyo ikitokea chama X kimegomea uchaguzi vyama vilivyopo vitaendelea kwasabu CCM licha ya kuiheshim katiba ya chama chetu pia tunaiheshimu Sana katiba yetu ya Taifa. Asante
 
Back
Top Bottom