Wana CCM Tuwe na desturi ya kupitia post (Nyuzi) humu JamiiForums na kuzijibu kwa hoja

Wana CCM Tuwe na desturi ya kupitia post (Nyuzi) humu JamiiForums na kuzijibu kwa hoja

Husika na kichwa Cha habari hapo juu....sisi makada wa Chama Cha Mapinduzi, uzarendo wetu kwenye chama chetu Ni kujibu hoja za wapinzani na kuujuza Umma wa Watanzania juu ya Mambo ambayo yamefanywa/Yanafanywa na chama chetu Cha CCM. Tujivunie uwazi uliopo ndani ya chama chetu Cha CCM na mafanikio tuliyoyafikia, Kuna vyama toka 1992 mpaka Leo vimekuwa vikipokea fedha kutoka kwa wafadhri, Ruzuku na kuchangisha watu michango lakini bado Kuna giza nene juu ya matumizi ya fedha hzo wengine hata ofs hawana, kwahyo sisi Kama makada na walinzi wa Chama Cha Mapinduzi lazima tuwatahadharishe wananchi wasiingie mkenge tunashukru kuona umma unajua tayari, hz barabara, disp. Hosp za rufaa kila mkoa, CT scan kila mkoa, madaraja, Elimu bure, mikopo vyuo vikuu, vivuko, nk. Ni sera ya Chama Cha Mapinduzi.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Wewe si ulikimbia jf , ile hela uliyokuwa unadai umelipwa ile ya posho ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu....sisi makada wa Chama Cha Mapinduzi, uzarendo wetu kwenye chama chetu Ni kujibu hoja za wapinzani na kuujuza Umma wa Watanzania juu ya Mambo ambayo yamefanywa/Yanafanywa na chama chetu Cha CCM. Tujivunie uwazi uliopo ndani ya chama chetu Cha CCM na mafanikio tuliyoyafikia, Kuna vyama toka 1992 mpaka Leo vimekuwa vikipokea fedha kutoka kwa wafadhri, Ruzuku na kuchangisha watu michango lakini bado Kuna giza nene juu ya matumizi ya fedha hzo wengine hata ofs hawana, kwahyo sisi Kama makada na walinzi wa Chama Cha Mapinduzi lazima tuwatahadharishe wananchi wasiingie mkenge tunashukru kuona umma unajua tayari, hz barabara, disp. Hosp za rufaa kila mkoa, CT scan kila mkoa, madaraja, Elimu bure, mikopo vyuo vikuu, vivuko, nk. Ni sera ya Chama Cha Mapinduzi.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
CCM ilitoa wapi hela za kufanya hayo yote?
 
Tutamjibu tu kwa hekima na busara CCM ni chama chenye haiba na kinawatu wa kila rika kwahyo matusi kwetu ni mwiko, tunatanguliza heshima na utu wa kila mtu
Tunajibu ku reflect na ku justify maslahi ya wana CCM wachache, au tunajibu kwa maslahi ya Watanzania wote bila kujalisha manufaa ya kichama?
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu....sisi makada wa Chama Cha Mapinduzi, uzarendo wetu kwenye chama chetu Ni kujibu hoja za wapinzani na kuujuza Umma wa Watanzania juu ya Mambo ambayo yamefanywa/Yanafanywa na chama chetu Cha CCM. Tujivunie uwazi uliopo ndani ya chama chetu Cha CCM na mafanikio tuliyoyafikia, Kuna vyama toka 1992 mpaka Leo vimekuwa vikipokea fedha kutoka kwa wafadhri, Ruzuku na kuchangisha watu michango lakini bado Kuna giza nene juu ya matumizi ya fedha hzo wengine hata ofs hawana, kwahyo sisi Kama makada na walinzi wa Chama Cha Mapinduzi lazima tuwatahadharishe wananchi wasiingie mkenge tunashukru kuona umma unajua tayari, hz barabara, disp. Hosp za rufaa kila mkoa, CT scan kila mkoa, madaraja, Elimu bure, mikopo vyuo vikuu, vivuko, nk. Ni sera ya Chama Cha Mapinduzi.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
[emoji7]
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu....sisi makada wa Chama Cha Mapinduzi, uzarendo wetu kwenye chama chetu Ni kujibu hoja za wapinzani na kuujuza Umma wa Watanzania juu ya Mambo ambayo yamefanywa/Yanafanywa na chama chetu Cha CCM. Tujivunie uwazi uliopo ndani ya chama chetu Cha CCM na mafanikio tuliyoyafikia, Kuna vyama toka 1992 mpaka Leo vimekuwa vikipokea fedha kutoka kwa wafadhri, Ruzuku na kuchangisha watu michango lakini bado Kuna giza nene juu ya matumizi ya fedha hzo wengine hata ofs hawana, kwahyo sisi Kama makada na walinzi wa Chama Cha Mapinduzi lazima tuwatahadharishe wananchi wasiingie mkenge tunashukru kuona umma unajua tayari, hz barabara, disp. Hosp za rufaa kila mkoa, CT scan kila mkoa, madaraja, Elimu bure, mikopo vyuo vikuu, vivuko, nk. Ni sera ya Chama Cha Mapinduzi.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Mtaweza ,jua jf Facebook,Instagram, tweet, huku kuna watu wapo na akili sana,je nyie ccm mtaweza karibu
 
, Kuna vyama toka 1992 mpaka Leo vimekuwa vikipokea fedha kutoka kwa wafadhri, Ruzuku na kuchangisha watu michango lakini bado Kuna giza nene juu ya matumizi ya fedha hzo wengine hata ofs hawana,
Gusia chama chetu kilivyo shughulikia report ya CAG
 
Hizo hela zikishatolewa Kuna ufatiliaji na ukaguzi wa Mara kwa Mara kuhakikisha zimetumika kihalali Kwenye shughuli zinazogusa maslahi ya umma wa Watanzania na adhabu Kali itatolewa na imekuwa inatolewa pale panapotokea ufujaji wa hela za umma.
Sisi ni wageni nchi hii? Posho inaendaje kujenga zahanati? Kwa bajeti gani?
 
Tuwe wazalendo kwa Taifa na sio kwa vyama vya siasa.
Vyama vinapita, Taifa linaendelea.
 
Hizo hela zikishatolewa Kuna ufatiliaji na ukaguzi wa Mara kwa Mara kuhakikisha zimetumika kihalali Kwenye shughuli zinazogusa maslahi ya umma wa Watanzania na adhabu Kali itatolewa na imekuwa inatolewa pale panapotokea ufujaji wa hela za umma.
Tutajie mtu mmoja aliye pewa adhabu kali usemayo kwa sababu ya wizi wa pesa

Muongo mkubwa wewe
Danganya wajinga wajinga huko
 
Mnakera sasa nyie na manguo yenu kama Viwavi Jeshi.

Siasa za maneno zimeshapitwa na wakati, siasa ni vitendo.
Hebu tuambie wewe kama mwanachama wa chama tawala umelisaidiaje Taifa kutoka kwenye wimbi la umaskini.
Kwa kupiga madili
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu....sisi makada wa Chama Cha Mapinduzi, uzarendo wetu kwenye chama chetu Ni kujibu hoja za wapinzani na kuujuza Umma wa Watanzania juu ya Mambo ambayo yamefanywa/Yanafanywa na chama chetu Cha CCM. Tujivunie uwazi uliopo ndani ya chama chetu Cha CCM na mafanikio tuliyoyafikia, Kuna vyama toka 1992 mpaka Leo vimekuwa vikipokea fedha kutoka kwa wafadhri, Ruzuku na kuchangisha watu michango lakini bado Kuna giza nene juu ya matumizi ya fedha hzo wengine hata ofs hawana, kwahyo sisi Kama makada na walinzi wa Chama Cha Mapinduzi lazima tuwatahadharishe wananchi wasiingie mkenge tunashukru kuona umma unajua tayari, hz barabara, disp. Hosp za rufaa kila mkoa, CT scan kila mkoa, madaraja, Elimu bure, mikopo vyuo vikuu, vivuko, nk. Ni sera ya Chama Cha Mapinduzi.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Hahahaha Magufuli wa kuwapitisha bila kupingwa hayupo tena enyi wana CCM. Demokrasia ndio hofu yenu kubwa sasa naona shindano imeanza kupenya vizuri. Na bado!
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu....sisi makada wa Chama Cha Mapinduzi, uzarendo wetu kwenye chama chetu Ni kujibu hoja za wapinzani na kuujuza Umma wa Watanzania juu ya Mambo ambayo yamefanywa/Yanafanywa na chama chetu Cha CCM. Tujivunie uwazi uliopo ndani ya chama chetu Cha CCM na mafanikio tuliyoyafikia, Kuna vyama toka 1992 mpaka Leo vimekuwa vikipokea fedha kutoka kwa wafadhri, Ruzuku na kuchangisha watu michango lakini bado Kuna giza nene juu ya matumizi ya fedha hzo wengine hata ofs hawana, kwahyo sisi Kama makada na walinzi wa Chama Cha Mapinduzi lazima tuwatahadharishe wananchi wasiingie mkenge tunashukru kuona umma unajua tayari, hz barabara, disp. Hosp za rufaa kila mkoa, CT scan kila mkoa, madaraja, Elimu bure, mikopo vyuo vikuu, vivuko, nk. Ni sera ya Chama Cha Mapinduzi.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Mtajibu kwa matusi, dharau na kejeli? Au mtajibu hoja kwa hoja?
Je, hayo majibu mtapewa na nani ikiwa viongozi wenu tu hawana??
 
Hizo hela zikishatolewa Kuna ufatiliaji na ukaguzi wa Mara kwa Mara kuhakikisha zimetumika kihalali Kwenye shughuli zinazogusa maslahi ya umma wa Watanzania na adhabu Kali itatolewa na imekuwa inatolewa pale panapotokea ufujaji wa hela za umma.
Halafu watu wanapotosha zile sio posho tu, Bali ni gharama za upimaji ardhi nchi nzima , watapima maeneo ya wananchi , na zile pesa zita zalisha pesa nyingine , ardhi ikiwhapimwa Kuna Kodi ya ardhi itapatikana , kwa kuwa ardhi kubwa itapimwa. ukiwa na nchi ambayo viwanja vyake vyote vimepimwa Hadi vijijini , Kodi kubwa itakusanywa na pato la kubwa litapatikana.
 
Jua tu mipango syo Matumizi hyo hela lazima itatengenezewa miongozo ya jinzi ya kuitumia kwasabu si lazima iishe yote Ila tu itatumika kwa Mambo yanayo gusa maslahi ya watanzania. Mfano Kama kutoa huduma za clinik za kisukari na bp vijjn, labda kutoa Elimu ya biashara, labda kutoa Elimu ya mafao na kustaafu, nk
Yaani kama wewe ndo umetumwa basi hii kazi ni kubwa Sana kwako kamuite mwingine. Yaani fungu lipitishwe Kwa matumizi ya posho halafu kwenye implementation liende kuendesha kliniki?
 
Yaani kama wewe ndo umetumwa basi hii kazi ni kubwa Sana kwako kamuite mwingine. Yaani fungu lipitishwe Kwa matumizi ya posho halafu kwenye implementation liende kuendesha kliniki?
Nimetoa mfano kuwa Hilo fungu lazima litaambatana na mwongozo wa Matumizi yake, sjatumwa na mtu kamanda
 
Halafu watu wanapotosha zile sio posho tu, Bali ni gharama za upimaji ardhi nchi nzima , watapima maeneo ya wananchi , na zile pesa zita zalisha pesa nyingine , ardhi ikiwhapimwa Kuna Kodi ya ardhi itapatikana , kwa kuwa ardhi kubwa itapimwa. ukiwa na nchi ambayo viwanja vyake vyote vimepimwa Hadi vijijini , Kodi kubwa itakusanywa na pato la kubwa litapatikana.
Shukran
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu....sisi makada wa Chama Cha Mapinduzi, uzarendo wetu kwenye chama chetu Ni kujibu hoja za wapinzani na kuujuza Umma wa Watanzania juu ya Mambo ambayo yamefanywa/Yanafanywa na chama chetu Cha CCM. Tujivunie uwazi uliopo ndani ya chama chetu Cha CCM na mafanikio tuliyoyafikia, Kuna vyama toka 1992 mpaka Leo vimekuwa vikipokea fedha kutoka kwa wafadhri, Ruzuku na kuchangisha watu michango lakini bado Kuna giza nene juu ya matumizi ya fedha hzo wengine hata ofs hawana, kwahyo sisi Kama makada na walinzi wa Chama Cha Mapinduzi lazima tuwatahadharishe wananchi wasiingie mkenge tunashukru kuona umma unajua tayari, hz barabara, disp. Hosp za rufaa kila mkoa, CT scan kila mkoa, madaraja, Elimu bure, mikopo vyuo vikuu, vivuko, nk. Ni sera ya Chama Cha Mapinduzi.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.

Wewe mwenyewe unapotosha hapa
 
Back
Top Bottom