Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
- Thread starter
- #21
Misaada ni chanzo cha mapato ya serikali na Hakuna serikali dunian hapa ambayo haina mikopo au haipati misaada.... misaada inasaidia kuwaongezea wananchi ahuweni ya maisha, mf. Ile hela ambayo tungejengea barabara tunaongeza kwenye ruzuku za mbolea, au tunaongeza mishahara ya watumishi au tunanunulia madawa hosp, au tunafadhiri tafit za kimaendeleoUmekusudia serikali ya Tanzania tokea ipate uhuru mpaka leo inategemea msaada wa mabeberu na kuiba hela ya umma.