Wana CCM wakirejesha kadi na kujiunga upinzani mkuu wa wilaya na Mkoa hana kazi; mbinu gani DC/RC watazitumia kudhibiti CCM kujiunga upinzani?

Hapana, kwa jinsi nilivyomsikia Mhe. Rais hajatumbua kwa sababu watu wamehama CCM ila ameangalia sababu iliyofanya wahame ambayo ni DC kuelekeza mradi sehemu nyingine tofauti na ilivyopangwa
 
Kwa mantiki hiyo DED na DC wakitusumbua tunarudisha kadi ili wafukuzwe kazi
 
yaani nyie wagalatia wa tz hamna akili kabisa. ndoomaana kila siku nasema mmesoma elimu za kukariri makaratasi. sasa mnampotosha nani hapa kuhusu kutumbuliwa hao watu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…