Wana CCM wakirejesha kadi na kujiunga upinzani mkuu wa wilaya na Mkoa hana kazi; mbinu gani DC/RC watazitumia kudhibiti CCM kujiunga upinzani?

Wana CCM wakirejesha kadi na kujiunga upinzani mkuu wa wilaya na Mkoa hana kazi; mbinu gani DC/RC watazitumia kudhibiti CCM kujiunga upinzani?

Hapana, kwa jinsi nilivyomsikia Mhe. Rais hajatumbua kwa sababu watu wamehama CCM ila ameangalia sababu iliyofanya wahame ambayo ni DC kuelekeza mradi sehemu nyingine tofauti na ilivyopangwa
 
Kauli hii ni nzuri kisiasa ila ngumu kwa wakuu wa wilaya na mkoa kwa sababu sababu za kuhama chama ni sababu binafsi. Ni sababu za kuungwa mkono sera fulani kuliko sera hizi. Kwa mantiki hiyo ili kujiunga na chama kingine hakuna ushawishi wa DC wala RC bali ni kazi ya viongozi wa siasa kwenye eneo husika.
Kwa mantiki hiyo DED na DC wakitusumbua tunarudisha kadi ili wafukuzwe kazi
 
yaani nyie wagalatia wa tz hamna akili kabisa. ndoomaana kila siku nasema mmesoma elimu za kukariri makaratasi. sasa mnampotosha nani hapa kuhusu kutumbuliwa hao watu?
 
Back
Top Bottom