Wana-CHADEMA mna chuki na Sabaya sababu alisimama kidete kumg'oa Mbowe Hai na kuifuta CHADEMA. Kwenye maisha lolote linaweza tokea msikariri

Wana-CHADEMA mna chuki na Sabaya sababu alisimama kidete kumg'oa Mbowe Hai na kuifuta CHADEMA. Kwenye maisha lolote linaweza tokea msikariri

Hii ndio namna ya kujizolea umaarufu hapa mitandaoni. Halafu sio wewe tu, mko wengi mnaotumia mbinu hii ya kujizolea umaarufu.
Kueleza uhalisia na ukweli ni kujizolea umaarufu? Hamchukii Sabaya sababu alimfurusha Mbowe?
 
Alichofanya ni kuwaambia watu wa Hai kuwa hawana Mbunge maana anashinda Dodoma akila bata. Watu wa hai wakampiga chini Mbowe.

Sasa kuwa na kesi kama Armed robbery kwa aliyekuwa mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya mnaona kawaida? Tena kosa lenyewe analifanyia wilaya nyingine yenye mkuu wa wilaya, Ocd na OC Cid mwingine, mnaona kama kwaida.

Mnafurahia haya yanayoendelea kumsibu hukumkisahau yanayomsibu Mwamba. Je likitokea lolote na mambo yakabadilika itakuwaje?
Kwa taarifa yako alikuwa anakodi vijana wa JW wasiowaaminifu kutoka Monduli kutimiza uhalifu wake. In short alikuwa Jambazi. Hawa vijana ni wale wanaokaa uraiani.

Wananchi wanajua kila kitu, sema hawakuwa na pa kusemea. Hapa ni Mungu katengeneza njia mwenyewe.
 
Alichofanya ni kuwaambia watu wa Hai kuwa hawana Mbunge maana anashinda Dodoma akila bata. Watu wa hai wakampiga chini Mbowe.

Sasa kuwa na kesi kama Armed robbery kwa aliyekuwa mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya mnaona kawaida? Tena kosa lenyewe analifanyia wilaya nyingine yenye mkuu wa wilaya, Ocd na OC Cid mwingine, mnaona kama kwaida.

Mnafurahia haya yanayoendelea kumsibu hukumkisahau yanayomsibu Mwamba. Je likitokea lolote na mambo yakabadilika itakuwaje?
Kupora pesa na mali za wafanya biashara ndio kuing’oa CHADEMA?!
Hivi nyie viroboto mara chawa sijuhi kupe, mmejaza mavi kichwani?!
 
Hujui kitu bora unyamaze tu ndg yangu sisi wa hai tunajua sabaya alikua nani yule acha yamkute malipo ni hapa hapa
 
Alichofanya ni kuwaambia watu wa Hai kuwa hawana Mbunge maana anashinda Dodoma akila bata. Watu wa hai wakampiga chini Mbowe.

Sasa kuwa na kesi kama Armed robbery kwa aliyekuwa mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya mnaona kawaida? Tena kosa lenyewe analifanyia wilaya nyingine yenye mkuu wa wilaya, Ocd na OC Cid mwingine, mnaona kama kwaida.

Mnafurahia haya yanayoendelea kumsibu hukumkisahau yanayomsibu Mwamba. Je likitokea lolote na mambo yakabadilika itakuwaje?
Hivi weye huwa una akili?Chunguzwa!
 
Kamwe usije ukakosea ukamlinganisha Mbowe na hili fisadi
 
Babake kuzimu, mwana ndani miaka 90. Kuna kitu Mungu anataka MATAGA mjifunze ila naona kama hamuelewi!
 
Alichofanya ni kuwaambia watu wa Hai kuwa hawana Mbunge maana anashinda Dodoma akila bata. Watu wa hai wakampiga chini Mbowe.

Sasa kuwa na kesi kama Armed robbery kwa aliyekuwa mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya mnaona kawaida? Tena kosa lenyewe analifanyia wilaya nyingine yenye mkuu wa wilaya, Ocd na OC Cid mwingine, mnaona kama kwaida.

Mnafurahia haya yanayoendelea kumsibu huku mkisahau yanayomsibu Mwamba.

Je likitokea lolote na mambo yakabadilika itakuwaje?
Hayatuhusu Mbowe analindwa na damu ya Yesu jangili Sabaya acha afie gerezani
 
Nimeshangaa sana kuona General Sabaya anamwaga machozi kizimbani Mahakamani,daaah maisha yanaenda kasi sana,nadhani ni vema ANGEKUNYA kabisa tujue moja,machozi hautoshi[emoji23]
Bado kuna mvua za kutosha zinakuja ana kesi zaidi ya 10
 
Back
Top Bottom