Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa taarifa yako alikuwa anakodi vijana wa JW wasiowaaminifu kutoka Monduli kutimiza uhalifu wake. In short alikuwa Jambazi. Hawa vijana ni wale wanaokaa uraiani.Alichofanya ni kuwaambia watu wa Hai kuwa hawana Mbunge maana anashinda Dodoma akila bata. Watu wa hai wakampiga chini Mbowe.
Sasa kuwa na kesi kama Armed robbery kwa aliyekuwa mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya mnaona kawaida? Tena kosa lenyewe analifanyia wilaya nyingine yenye mkuu wa wilaya, Ocd na OC Cid mwingine, mnaona kama kwaida.
Mnafurahia haya yanayoendelea kumsibu hukumkisahau yanayomsibu Mwamba. Je likitokea lolote na mambo yakabadilika itakuwaje?
Binti ushaenda chato kutambika?Hoja yako nini? Chadema humfurahii madhila ya Sabaya sababu ya kumfurusha Mbowe?
Kupora pesa na mali za wafanya biashara ndio kuing’oa CHADEMA?!Alichofanya ni kuwaambia watu wa Hai kuwa hawana Mbunge maana anashinda Dodoma akila bata. Watu wa hai wakampiga chini Mbowe.
Sasa kuwa na kesi kama Armed robbery kwa aliyekuwa mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya mnaona kawaida? Tena kosa lenyewe analifanyia wilaya nyingine yenye mkuu wa wilaya, Ocd na OC Cid mwingine, mnaona kama kwaida.
Mnafurahia haya yanayoendelea kumsibu hukumkisahau yanayomsibu Mwamba. Je likitokea lolote na mambo yakabadilika itakuwaje?
Kavurugwa huyo..! Akili zake hazina akili kabisa kabisa anaona UJAMBAZI wa Sabaya ni kuifuta CHADEMA , kweli.!Mbona kama unajichanganya mwenyewe!
Hivi weye huwa una akili?Chunguzwa!Alichofanya ni kuwaambia watu wa Hai kuwa hawana Mbunge maana anashinda Dodoma akila bata. Watu wa hai wakampiga chini Mbowe.
Sasa kuwa na kesi kama Armed robbery kwa aliyekuwa mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya mnaona kawaida? Tena kosa lenyewe analifanyia wilaya nyingine yenye mkuu wa wilaya, Ocd na OC Cid mwingine, mnaona kama kwaida.
Mnafurahia haya yanayoendelea kumsibu hukumkisahau yanayomsibu Mwamba. Je likitokea lolote na mambo yakabadilika itakuwaje?
We mwenyewe una chuki na chademaUmenielewa kijana?
MhKamwe usije ukakosea ukamlinganisha Mbowe na fisadi
View attachment 2088791
Hayatuhusu Mbowe analindwa na damu ya Yesu jangili Sabaya acha afie gerezaniAlichofanya ni kuwaambia watu wa Hai kuwa hawana Mbunge maana anashinda Dodoma akila bata. Watu wa hai wakampiga chini Mbowe.
Sasa kuwa na kesi kama Armed robbery kwa aliyekuwa mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya mnaona kawaida? Tena kosa lenyewe analifanyia wilaya nyingine yenye mkuu wa wilaya, Ocd na OC Cid mwingine, mnaona kama kwaida.
Mnafurahia haya yanayoendelea kumsibu huku mkisahau yanayomsibu Mwamba.
Je likitokea lolote na mambo yakabadilika itakuwaje?
Bado kuna mvua za kutosha zinakuja ana kesi zaidi ya 10Nimeshangaa sana kuona General Sabaya anamwaga machozi kizimbani Mahakamani,daaah maisha yanaenda kasi sana,nadhani ni vema ANGEKUNYA kabisa tujue moja,machozi hautoshi[emoji23]
Inatakiwa wafungwe woteKavurugwa huyo , hilo JAMBAZI mwenzie Sabaya linatuhusu nini sisi CHADEMA.
Mtu ukisha anza matusi basi kila mwenye akili anajua ulisha fika upeo wake mdogo kufikiri.Unajua kutumia mnyeo kufikiri ni upumbavu.
OkeyOna sasa!