WANA CHADEMA TUSAIDIENI/MNISAIDIE KUJIBU HAYA MASWALI MAANA SIPATI MAJIBU.

WANA CHADEMA TUSAIDIENI/MNISAIDIE KUJIBU HAYA MASWALI MAANA SIPATI MAJIBU.

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
1. Kwanini baadhi ya wanachadema hawataki Mbowe agombee uenyekiti? Kama katiba ya Chama inamruhusu?
2. Kwanini wasionyeshe kutokuridhika kwao na kazi aliyoifanya Mbowe[kama wanavyosema] kwenye sanduku la kura kwa kutokumpigia kura?

2. Au hawana Imani na mfumo wa uchaguzi ndani ya Chama chao? Wanadhani Mbowe atachakachua kura?

3. The whole process raises a number of doubtful questions. Wamekuwa wanalalamika chaguzi nyingi za serikali, sasa mimi mwananchi wa kawaida niwaamini vipi sasa kama wanashindwa kusimamia uchaguzi wenu wa ndani?

4. Na ni kwanini mlibadilisha katiba kutoka kuwa na ukomo wa uongozi? Museveni alifanya hivi pia, Kagame alifanya hivi pia
 
20241208_002449.jpg
 
1. Kwanini baadhi ya wanachadema hawataki Mbowe agombee uenyekiti? Kama katiba ya Chama inamruhusu?
2. Kwanini wasionyeshe kutokuridhika kwao na kazi aliyoifanya Mbowe[kama wanavyosema] kwenye sanduku la kura kwa kutokumpigia kura?

2. Au hawana Imani na mfumo wa uchaguzi ndani ya Chama chao? Wanadhani Mbowe atachakachua kura?

3. The whole process raises a number of doubtful questions. Wamekuwa wanalalamika chaguzi nyingi za serikali, sasa mimi mwananchi wa kawaida niwaamini vipi sasa kama wanashindwa kusimamia uchaguzi wenu wa ndani?

4. Na ni kwanini mlibadilisha katiba kutoka kuwa na ukomo wa uongozi? Museveni alifanya hivi pia, Kagame alifanya hivi pia
Msipopambana kuiondoa CCM mtakuja kujuta siku moja.
 
1. Kwanini baadhi ya wanachadema hawataki Mbowe agombee uenyekiti? Kama katiba ya Chama inamruhusu?
2. Kwanini wasionyeshe kutokuridhika kwao na kazi aliyoifanya Mbowe[kama wanavyosema] kwenye sanduku la kura kwa kutokumpigia kura?

2. Au hawana Imani na mfumo wa uchaguzi ndani ya Chama chao? Wanadhani Mbowe atachakachua kura?

3. The whole process raises a number of doubtful questions. Wamekuwa wanalalamika chaguzi nyingi za serikali, sasa mimi mwananchi wa kawaida niwaamini vipi sasa kama wanashindwa kusimamia uchaguzi wenu wa ndani?

4. Na ni kwanini mlibadilisha katiba kutoka kuwa na ukomo wa uongozi? Museveni alifanya hivi pia, Kagame alifanya hivi pia


Maswali yako Dr Slaa ameshayajibu yote . Inabidi uende youtube kusikiliza acha uvivu
 
1. Kwanini baadhi ya wanachadema hawataki Mbowe agombee uenyekiti? Kama katiba ya Chama inamruhusu?
2. Kwanini wasionyeshe kutokuridhika kwao na kazi aliyoifanya Mbowe[kama wanavyosema] kwenye sanduku la kura kwa kutokumpigia kura?

2. Au hawana Imani na mfumo wa uchaguzi ndani ya Chama chao? Wanadhani Mbowe atachakachua kura?

3. The whole process raises a number of doubtful questions. Wamekuwa wanalalamika chaguzi nyingi za serikali, sasa mimi mwananchi wa kawaida niwaamini vipi sasa kama wanashindwa kusimamia uchaguzi wenu wa ndani?

4. Na ni kwanini mlibadilisha katiba kutoka kuwa na ukomo wa uongozi? Museveni alifanya hivi pia, Kagame alifanya hivi pia
Hapa natoka nduki...
 
1. Kwanini baadhi ya wanachadema hawataki Mbowe agombee uenyekiti? Kama katiba ya Chama inamruhusu?
2. Kwanini wasionyeshe kutokuridhika kwao na kazi aliyoifanya Mbowe[kama wanavyosema] kwenye sanduku la kura kwa kutokumpigia kura?

2. Au hawana Imani na mfumo wa uchaguzi ndani ya Chama chao? Wanadhani Mbowe atachakachua kura?

3. The whole process raises a number of doubtful questions. Wamekuwa wanalalamika chaguzi nyingi za serikali, sasa mimi mwananchi wa kawaida niwaamini vipi sasa kama wanashindwa kusimamia uchaguzi wenu wa ndani?

4. Na ni kwanini mlibadilisha katiba kutoka kuwa na ukomo wa uongozi? Museveni alifanya hivi pia, Kagame alifanya hivi pia
Tafuta speech ya Lissu siku anatangaza nia ya kugombea inajibu haya maswali yako yote.
 
1. Kwanini baadhi ya wanachadema hawataki Mbowe agombee uenyekiti? Kama katiba ya Chama inamruhusu?
2. Kwanini wasionyeshe kutokuridhika kwao na kazi aliyoifanya Mbowe[kama wanavyosema] kwenye sanduku la kura kwa kutokumpigia kura?

2. Au hawana Imani na mfumo wa uchaguzi ndani ya Chama chao? Wanadhani Mbowe atachakachua kura?

3. The whole process raises a number of doubtful questions. Wamekuwa wanalalamika chaguzi nyingi za serikali, sasa mimi mwananchi wa kawaida niwaamini vipi sasa kama wanashindwa kusimamia uchaguzi wenu wa ndani?

4. Na ni kwanini mlibadilisha katiba kutoka kuwa na ukomo wa uongozi? Museveni alifanya hivi pia, Kagame alifanya hivi pia
CCM wagumu kuelewa
 
1. Kwanini baadhi ya wanachadema hawataki Mbowe agombee uenyekiti? Kama katiba ya Chama inamruhusu?
2. Kwanini wasionyeshe kutokuridhika kwao na kazi aliyoifanya Mbowe[kama wanavyosema] kwenye sanduku la kura kwa kutokumpigia kura?

2. Au hawana Imani na mfumo wa uchaguzi ndani ya Chama chao? Wanadhani Mbowe atachakachua kura?

3. The whole process raises a number of doubtful questions. Wamekuwa wanalalamika chaguzi nyingi za serikali, sasa mimi mwananchi wa kawaida niwaamini vipi sasa kama wanashindwa kusimamia uchaguzi wenu wa ndani?

4. Na ni kwanini mlibadilisha katiba kutoka kuwa na ukomo wa uongozi? Museveni alifanya hivi pia, Kagame alifanya hivi pia
Maswali ya maana sana haya.

Kama CHADEMA waliishi na katiba hiyo miaka yote hii basi watangaze uchaguzi huru na wa haki. Mbowe akigombea kura ndio ziamue kama aendelee uenyekiti au aondoke. Akitaka kutogombea (kwa hiyari yake) basi astaafishwe kwa heshima zote. Uchaguzi ufanyike kwa wengine.

Kama hawana imani na mfumo wao wa uchaguzi basi HILO LITAKUWA TATIZO KUBWA KWELI KWELI. Watapoteza uhalali wote wa kujiita chama cha demokrasia. Na hawatakuwa na uhalali wa kudai wao ni kinyume (opposition) na mbadala sahihi wa chama tawala.

Kama wamegundua katiba yao ni mbovu, na inawakera sana, basi hiyo ndiyo iwe ajenda yao kuu hivi sasa: kurekebisha katiba ya chama kwa kasi kubwa kabla ya kuingia kwenye uchaguzi wowote.

Si sawa kwa wafuasi wa CHADEMA kujikuta wakishabikia kihalaiki individuals katika uongozi wa chama. Ushabiki unaofanywa kwa nguvu na jazba nyingi kama ule wa simba na yanga. Ni aibu.

Chama kinachoweka matumaini yaliyopitiliza kwa individuals badala ya mifumo yake hakiwezi kusimamia maslahi ya taifa na wananchi kwa uwezo stahiki. It is weak.
 
Maswali mazuri ila yote Yana majibu tayari kama ni mfuatiliaji wa mambo kwa dr.slaa na lissu. Kuhusu mbowe wanamuomba asigombee Ili kumpa heshma yake kama kiongozi wao mstaafu asidhalilishwe na wanamshauri zaidi.Wa kuamua kugombea au kutokugombea ni yeye mwenyewe
 
Back
Top Bottom