Wana CHADEMA waliolazimishwa kujiunga CCM Wana mpango wakurejea Chadema hivi karibuni CCM chukueni taadhari

Wana CHADEMA waliolazimishwa kujiunga CCM Wana mpango wakurejea Chadema hivi karibuni CCM chukueni taadhari

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kuna majadiliano na mawasiliano yanafanyika kuhusu utaratibu mzuri wa waliokuwa wanasiasa ndani ya chama cha CHADEMA wakalazimishwa na JPM wahamie CCM wanajipanga kurejea CHADEMA.

Mkakati huu unaratibiwa vyema na viongozi wa juu wa Chadema ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu 2025.

Wakati huo huo akina halima Mdee tayari wameandika barua yakuomba radhi kwa chama chao na wanatarajiwa kuwasilisha barua hiyo rasmi makao Makuu ya Chadema.

Katika mikakati iliyopo sasa na inayoshukiwa na baadhi wa Makada wa CCM ambao wanaamini watakatwa majina yao 2025 ni kwamba endapo watakatwa basi hawatakaa staafu siasa bali wataingia upande wa pili kupigania haki zao.

Moja ya mbinu inayokusudiwa kutumika nikuhakikisha kwamba wagombea wote watakaoteuliwa bila sifa ndani ya CCM wanapata wapinzani wakubwa na wenye nguvu kwa wapiga kura kama ambavyo uchaguzi wa mwaka 2010 na 2015 ilifanyika.

Wakati huo pia Gwiji la siasa Mzee Slaa amepanga kufanya mazungumzo na hasimu wake kifikra Mhe. Lisu katika kile ambacho kinaelezwa kuendelea kunogesha mapambano ya haki ndani ya nchi.

Je, CCM itakubali kuona wanasiasa waliolazimishwa kuhama vyama wanakabidhi ofisi na magari nakurejea kwenye harakati za ukombozi?
 
Kuna majadiliano na mawasiliano yanafanyika kuhusu utaratibu mzuri wa waliokuwa wanasiasa ndani ya chama cha CHADEMA wakalazimishwa na JPM wahamie CCM wanajipanga kurejea CHADEMA.

Mkakati huu unaratibiwa vyema na viongozi wa juu wa Chadema ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu 2025.

Wakati huo huo akina halima Mdee tayari wameandika barua yakuomba radhi kwa chama chao na wanatarajiwa kuwasilisha barua hiyo rasmi makao Makuu ya Chadema.

Katika mikakati iliyopo sasa na inayoshukiwa na baadhi wa Makada wa CCM ambao wanaamini watakatwa majina yao 2025 ni kwamba endapo watakatwa basi hawatakaa staafu siasa bali wataingia upande wa pili kupigania haki zao.

Moja ya mbinu inayokusudiwa kutumika nikuhakikisha kwamba wagombea wote watakaoteuliwa bila sifa ndani ya CCM wanapata wapinzani wakubwa na wenye nguvu kwa wapiga kura kama ambavyo uchaguzi wa mwaka 2010 na 2015 ilifanyika.

Wakati huo pia Gwiji la siasa Mzee Slaa amepanga kufanya mazungumzo na hasimu wake kifikra Mhe. Lisu katika kile ambacho kinaelezwa kuendelea kunogesha mapambano ya haki ndani ya nchi.

Je, CCM itakubali kuona wanasiasa waliolazimishwa kuhama vyama wanakabidhi ofisi na magari nakurejea kwenye harakati za ukombozi?

..Halima Mdee ameandika vipi barua ya kuomba msamaha Chadema kabla ya kufuta kesi mahakamani, au kuachia ubunge?
 
..Msigwa ni sawa kurudi.

..kule Ccm anadhalilika mpaka unamuonea huruma.

..ana tatizo binafsi na Mbowe hivyo wakiyamaliza Msigwa anaweza kurudi Chadema.
Mbowe hana Tatizo na Msigwa, Ila Msigwa amepewa Masharti ya kumshambulia Mbowe, ikiwezekana hata kwa matusi ya Nguoni ili apate mkate wake
 
Mbowe hana Tatizo na Msigwa, Ila Msigwa amepewa Masharti ya kumshambulia Mbowe, ikiwezekana hata kwa matusi ya Nguoni ili apate mkate wake

..basi Msigwa akichoka kumtukana Mbowe aruhusiwe kurudi Chadema.

..kumuacha Msigwa anateseka kwa kujikana na kujidhalilisha huko Ccm inatia simanzi.

..Msigwa aruhusiwe kurudi Chadema amalize utumishi wake ktk siasa kwa heshima.

..atafutiwe hata kitengo makao makuu ya Chadema kuliko kumuachia anadhalilika.
 
Back
Top Bottom