Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Mimi nayapenda sana yake madada! Yako vizuri, yakienda ACT tutapoteza majembe!Wale waende ACT, sio lazima rejea chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nayapenda sana yake madada! Yako vizuri, yakienda ACT tutapoteza majembe!Wale waende ACT, sio lazima rejea chadema
Kwa kweli hata mimi namhurumia sana Msigwa. Nikikumbuka zile nondo alikuwa anashusha bungeni mpaka machozi yananilengalenga! Kule Kizimkazi anajidhalilisha sana!..basi Msigwa akichoka kumtukana Mbowe aruhusiwe kurudi Chadema.
..kumuacha Msigwa anateseka kwa kujikana na kujidhalilisha huko Ccm inatia simanzi.
..Msigwa aruhusiwe kurudi Chadema amalize utumishi wake ktk siasa kwa heshima.
..atafutiwe hata kitengo makao makuu ya Chadema kuliko kumuachia anadhalilika.
Taadhari x. Tahadhari ✓Kuna majadiliano na mawasiliano yanafanyika kuhusu utaratibu mzuri wa waliokuwa wanasiasa ndani ya chama cha CHADEMA wakalazimishwa na JPM wahamie CCM wanajipanga kurejea CHADEMA.
Mkakati huu unaratibiwa vyema na viongozi wa juu wa Chadema ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu 2025.
Wakati huo huo akina halima Mdee tayari wameandika barua yakuomba radhi kwa chama chao na wanatarajiwa kuwasilisha barua hiyo rasmi makao Makuu ya Chadema.
Katika mikakati iliyopo sasa na inayoshukiwa na baadhi wa Makada wa CCM ambao wanaamini watakatwa majina yao 2025 ni kwamba endapo watakatwa basi hawatakaa staafu siasa bali wataingia upande wa pili kupigania haki zao.
Moja ya mbinu inayokusudiwa kutumika nikuhakikisha kwamba wagombea wote watakaoteuliwa bila sifa ndani ya CCM wanapata wapinzani wakubwa na wenye nguvu kwa wapiga kura kama ambavyo uchaguzi wa mwaka 2010 na 2015 ilifanyika.
Wakati huo pia Gwiji la siasa Mzee Slaa amepanga kufanya mazungumzo na hasimu wake kifikra Mhe. Lisu katika kile ambacho kinaelezwa kuendelea kunogesha mapambano ya haki ndani ya nchi.
Je, CCM itakubali kuona wanasiasa waliolazimishwa kuhama vyama wanakabidhi ofisi na magari nakurejea kwenye harakati za ukombozi?
Au wabaki huko huko ccmWale waende ACT, sio lazima rejea chadema
Msigwa anatia huruma sana......hateuliki kabisa labda ataishia kupewa nusj nkaye tu....watamtisa na kumtumia kama toilet paper muda utaongea subirinii
Naam, upo sawa kabisaAu wabaki huko huko ccm
Kwa umri alionao na vituko alivyoonesha Basi mzee huyo hana moyo mweupe, labda mweusi tiiii. Mtu mzima ovyo kabisa.Mzee mwenzangu Slaa akaribie kwa moyo mweupe kabisa
Ww utakuwa ndo halima mdee...go go umekaribia kutoboaKuna majadiliano na mawasiliano yanafanyika kuhusu utaratibu mzuri wa waliokuwa wanasiasa ndani ya chama cha CHADEMA wakalazimishwa na JPM wahamie CCM wanajipanga kurejea CHADEMA.
Mkakati huu unaratibiwa vyema na viongozi wa juu wa Chadema ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu 2025.
Wakati huo huo akina halima Mdee tayari wameandika barua yakuomba radhi kwa chama chao na wanatarajiwa kuwasilisha barua hiyo rasmi makao Makuu ya Chadema.
Katika mikakati iliyopo sasa na inayoshukiwa na baadhi wa Makada wa CCM ambao wanaamini watakatwa majina yao 2025 ni kwamba endapo watakatwa basi hawatakaa staafu siasa bali wataingia upande wa pili kupigania haki zao.
Moja ya mbinu inayokusudiwa kutumika nikuhakikisha kwamba wagombea wote watakaoteuliwa bila sifa ndani ya CCM wanapata wapinzani wakubwa na wenye nguvu kwa wapiga kura kama ambavyo uchaguzi wa mwaka 2010 na 2015 ilifanyika.
Wakati huo pia Gwiji la siasa Mzee Slaa amepanga kufanya mazungumzo na hasimu wake kifikra Mhe. Lisu katika kile ambacho kinaelezwa kuendelea kunogesha mapambano ya haki ndani ya nchi.
Je, CCM itakubali kuona wanasiasa waliolazimishwa kuhama vyama wanakabidhi ofisi na magari nakurejea kwenye harakati za ukombozi?
hata mimi namuunga mkono babu mwenzangu Slaailidhihirika na kuonekana kua hali ya lisu ni dhaifu sana,
na kwa wakati wote mgombea urais anaeungwa mkono na mwenyekiti wa chadema taifa ni dr slaa![]()
Msigwa huyu ana laana damu ya Mzee Kibao iko juu ya kichwa chake yeye ndiye aliwaambia mabwana zake kuwa Mzee Kibao ndiye mpanga mikakati yote ya Chadema hivyo akiuwawa Chadema itakufa nao wakaingia kichwa kichwa wakamuua Mzee wa watu,lazima Msigwa alipe kwa ushenzi huu.Msigwa anatia huruma sana......hateuliki kabisa labda ataishia kupewa nusj nkaye tu....watamtisa na kumtumia kama toilet paper muda utaongea subirinii
Dr Slaa hana kashfa wala tuhuma za ufisadi, aende CHADEMA, kutamfaa. CCM ibakie na majizi, wala rushwa, matapeli, watekaji, wauaji na wauzaji wa rasilimali za nchi..Mzee mwenzangu Slaa akaribie kwa moyo mweupe kabisa
Kama ni kweli alifanya hivyo, basi Msigwa atatembea na laana hiyo mpaka siku anasindikizwa kaburini.. Tushindane, tubishane, tukosoane lakini tusiuane.Msigwa huyu ana laana damu ya Mzee Kibao iko juu ya kichwa chake yeye ndiye aliwaambia mabwana zake kuwa Mzee Kibao ndiye mpanga mikakati yote ya Chadema hivyo akiuwawa Chadema itakufa nao wakaingia kichwa kichwa wakamuua Mzee wa watu,lazima Msigwa alipe kwa ushenzi huu.
Kabisa, yaani cdm ipokee waunga juhudi?Ulipoweka Halima Mdee tu nikadharau uzi mzima
Muogope sana mtu anayesaliti vita.. Wengi hukatwa shingoKwani Dhambi aliyotenda Halina ni haisameheki?
Wewe Si ni mkristo?
Baadhi yao ni mapandikiziKabisa, yaani cdm ipokee waunga juhudi?
Mbona hata wewe hujakiri kosa la kukacha maandamano na kumwachia Mbowe peke yake na familia?Hajawahi kukiri makosa yake
🙄🤔🤫Msigwa huyu ana laana damu ya Mzee Kibao iko juu ya kichwa chake yeye ndiye aliwaambia mabwana zake kuwa Mzee Kibao ndiye mpanga mikakati yote ya Chadema hivyo akiuwawa Chadema itakufa nao wakaingia kichwa kichwa wakamuua Mzee wa watu,lazima Msigwa alipe kwa ushenzi huu.