Wana CHADEMA waliolazimishwa kujiunga CCM Wana mpango wakurejea Chadema hivi karibuni CCM chukueni taadhari

Wana CHADEMA waliolazimishwa kujiunga CCM Wana mpango wakurejea Chadema hivi karibuni CCM chukueni taadhari

..basi Msigwa akichoka kumtukana Mbowe aruhusiwe kurudi Chadema.

..kumuacha Msigwa anateseka kwa kujikana na kujidhalilisha huko Ccm inatia simanzi.

..Msigwa aruhusiwe kurudi Chadema amalize utumishi wake ktk siasa kwa heshima.

..atafutiwe hata kitengo makao makuu ya Chadema kuliko kumuachia anadhalilika.
Kwa kweli hata mimi namhurumia sana Msigwa. Nikikumbuka zile nondo alikuwa anashusha bungeni mpaka machozi yananilengalenga! Kule Kizimkazi anajidhalilisha sana!
 
Kuna majadiliano na mawasiliano yanafanyika kuhusu utaratibu mzuri wa waliokuwa wanasiasa ndani ya chama cha CHADEMA wakalazimishwa na JPM wahamie CCM wanajipanga kurejea CHADEMA.

Mkakati huu unaratibiwa vyema na viongozi wa juu wa Chadema ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu 2025.

Wakati huo huo akina halima Mdee tayari wameandika barua yakuomba radhi kwa chama chao na wanatarajiwa kuwasilisha barua hiyo rasmi makao Makuu ya Chadema.

Katika mikakati iliyopo sasa na inayoshukiwa na baadhi wa Makada wa CCM ambao wanaamini watakatwa majina yao 2025 ni kwamba endapo watakatwa basi hawatakaa staafu siasa bali wataingia upande wa pili kupigania haki zao.

Moja ya mbinu inayokusudiwa kutumika nikuhakikisha kwamba wagombea wote watakaoteuliwa bila sifa ndani ya CCM wanapata wapinzani wakubwa na wenye nguvu kwa wapiga kura kama ambavyo uchaguzi wa mwaka 2010 na 2015 ilifanyika.

Wakati huo pia Gwiji la siasa Mzee Slaa amepanga kufanya mazungumzo na hasimu wake kifikra Mhe. Lisu katika kile ambacho kinaelezwa kuendelea kunogesha mapambano ya haki ndani ya nchi.

Je, CCM itakubali kuona wanasiasa waliolazimishwa kuhama vyama wanakabidhi ofisi na magari nakurejea kwenye harakati za ukombozi?
Taadhari x. Tahadhari ✓
 
Msigwa anatia huruma sana......hateuliki kabisa labda ataishia kupewa nusj nkaye tu....watamtisa na kumtumia kama toilet paper muda utaongea subirinii

..kuna watu ambao kwa rekodi zao ktk upinzani hawafai kabisa kuwa Ccm. Sasa Peter Msigwa ni mmoja kati ya watu hao.

..Ccm bora wangemnunua mtu mwingine lakini sio Peter Msigwa. Sio vizuri kumtumia vibaya mwanadamu mwenzako kama Ccm wanavyofanya kwa Msigwa.
 
Kuna majadiliano na mawasiliano yanafanyika kuhusu utaratibu mzuri wa waliokuwa wanasiasa ndani ya chama cha CHADEMA wakalazimishwa na JPM wahamie CCM wanajipanga kurejea CHADEMA.

Mkakati huu unaratibiwa vyema na viongozi wa juu wa Chadema ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu 2025.

Wakati huo huo akina halima Mdee tayari wameandika barua yakuomba radhi kwa chama chao na wanatarajiwa kuwasilisha barua hiyo rasmi makao Makuu ya Chadema.

Katika mikakati iliyopo sasa na inayoshukiwa na baadhi wa Makada wa CCM ambao wanaamini watakatwa majina yao 2025 ni kwamba endapo watakatwa basi hawatakaa staafu siasa bali wataingia upande wa pili kupigania haki zao.

Moja ya mbinu inayokusudiwa kutumika nikuhakikisha kwamba wagombea wote watakaoteuliwa bila sifa ndani ya CCM wanapata wapinzani wakubwa na wenye nguvu kwa wapiga kura kama ambavyo uchaguzi wa mwaka 2010 na 2015 ilifanyika.

Wakati huo pia Gwiji la siasa Mzee Slaa amepanga kufanya mazungumzo na hasimu wake kifikra Mhe. Lisu katika kile ambacho kinaelezwa kuendelea kunogesha mapambano ya haki ndani ya nchi.

Je, CCM itakubali kuona wanasiasa waliolazimishwa kuhama vyama wanakabidhi ofisi na magari nakurejea kwenye harakati za ukombozi?
Ww utakuwa ndo halima mdee...go go umekaribia kutoboa
 
Si tulikubaliana hapata fanyika Tena uchaguzi bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
 
Msigwa anatia huruma sana......hateuliki kabisa labda ataishia kupewa nusj nkaye tu....watamtisa na kumtumia kama toilet paper muda utaongea subirinii
Msigwa huyu ana laana damu ya Mzee Kibao iko juu ya kichwa chake yeye ndiye aliwaambia mabwana zake kuwa Mzee Kibao ndiye mpanga mikakati yote ya Chadema hivyo akiuwawa Chadema itakufa nao wakaingia kichwa kichwa wakamuua Mzee wa watu,lazima Msigwa alipe kwa ushenzi huu.
 
Msigwa huyu ana laana damu ya Mzee Kibao iko juu ya kichwa chake yeye ndiye aliwaambia mabwana zake kuwa Mzee Kibao ndiye mpanga mikakati yote ya Chadema hivyo akiuwawa Chadema itakufa nao wakaingia kichwa kichwa wakamuua Mzee wa watu,lazima Msigwa alipe kwa ushenzi huu.
Kama ni kweli alifanya hivyo, basi Msigwa atatembea na laana hiyo mpaka siku anasindikizwa kaburini.. Tushindane, tubishane, tukosoane lakini tusiuane.
 
Msigwa huyu ana laana damu ya Mzee Kibao iko juu ya kichwa chake yeye ndiye aliwaambia mabwana zake kuwa Mzee Kibao ndiye mpanga mikakati yote ya Chadema hivyo akiuwawa Chadema itakufa nao wakaingia kichwa kichwa wakamuua Mzee wa watu,lazima Msigwa alipe kwa ushenzi huu.
🙄🤔🤫
 
Back
Top Bottom