Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
🤣🤣🤣Mbona hata wewe hujakiri kosa la kukacha maandamano na kumwachia Mbowe peke yake na familia?
[Wewe ulikacha maandamano]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Mbona hata wewe hujakiri kosa la kukacha maandamano na kumwachia Mbowe peke yake na familia?
[Wewe ulikacha maandamano]
Hahahahahah nachoweza kukushauri ni kwamba hakikisha umevaa pampasi ili usije ukachakaza godoro kwa hizo ndoto zako😁!Kuna majadiliano na mawasiliano yanafanyika kuhusu utaratibu mzuri wa waliokuwa wanasiasa ndani ya chama cha CHADEMA wakalazimishwa na JPM wahamie CCM wanajipanga kurejea CHADEMA.
Mkakati huu unaratibiwa vyema na viongozi wa juu wa Chadema ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu 2025.
Wakati huo huo akina halima Mdee tayari wameandika barua yakuomba radhi kwa chama chao na wanatarajiwa kuwasilisha barua hiyo rasmi makao Makuu ya Chadema.
Katika mikakati iliyopo sasa na inayoshukiwa na baadhi wa Makada wa CCM ambao wanaamini watakatwa majina yao 2025 ni kwamba endapo watakatwa basi hawatakaa staafu siasa bali wataingia upande wa pili kupigania haki zao.
Moja ya mbinu inayokusudiwa kutumika nikuhakikisha kwamba wagombea wote watakaoteuliwa bila sifa ndani ya CCM wanapata wapinzani wakubwa na wenye nguvu kwa wapiga kura kama ambavyo uchaguzi wa mwaka 2010 na 2015 ilifanyika.
Wakati huo pia Gwiji la siasa Mzee Slaa amepanga kufanya mazungumzo na hasimu wake kifikra Mhe. Lisu katika kile ambacho kinaelezwa kuendelea kunogesha mapambano ya haki ndani ya nchi.
Je, CCM itakubali kuona wanasiasa waliolazimishwa kuhama vyama wanakabidhi ofisi na magari nakurejea kwenye harakati za ukombozi?
Msigwa ni mtu wa hovyo 🤣 yani unalipwa kuisaliti kambi iliokupa umaarufu na kukufikisha hapo ulipo kweli?Mbowe hana Tatizo na Msigwa, Ila Msigwa amepewa Masharti ya kumshambulia Mbowe, ikiwezekana hata kwa matusi ya Nguoni ili apate mkate wake
What if walishikiwa mtutu wa bunduki?Muogope sana mtu anayesaliti vita.. Wengi hukatwa shingo
Weka majina!Kuna majadiliano na mawasiliano yanafanyika kuhusu utaratibu mzuri wa waliokuwa wanasiasa ndani ya chama cha CHADEMA wakalazimishwa na JPM wahamie CCM wanajipanga kurejea CHADEMA.
Mkakati huu unaratibiwa vyema na viongozi wa juu wa Chadema ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu 2025.
Wakati huo huo akina halima Mdee tayari wameandika barua yakuomba radhi kwa chama chao na wanatarajiwa kuwasilisha barua hiyo rasmi makao Makuu ya Chadema.
Katika mikakati iliyopo sasa na inayoshukiwa na baadhi wa Makada wa CCM ambao wanaamini watakatwa majina yao 2025 ni kwamba endapo watakatwa basi hawatakaa staafu siasa bali wataingia upande wa pili kupigania haki zao.
Moja ya mbinu inayokusudiwa kutumika nikuhakikisha kwamba wagombea wote watakaoteuliwa bila sifa ndani ya CCM wanapata wapinzani wakubwa na wenye nguvu kwa wapiga kura kama ambavyo uchaguzi wa mwaka 2010 na 2015 ilifanyika.
Wakati huo pia Gwiji la siasa Mzee Slaa amepanga kufanya mazungumzo na hasimu wake kifikra Mhe. Lisu katika kile ambacho kinaelezwa kuendelea kunogesha mapambano ya haki ndani ya nchi.
Je, CCM itakubali kuona wanasiasa waliolazimishwa kuhama vyama wanakabidhi ofisi na magari nakurejea kwenye harakati za ukombozi?
Kuna watu wameviweka vichwa vyao rehani.Mbowe hana Tatizo na Msigwa, Ila Msigwa amepewa Masharti ya kumshambulia Mbowe, ikiwezekana hata kwa matusi ya Nguoni ili apate mkate wake