Wana CHADEMA waliolazimishwa kujiunga CCM Wana mpango wakurejea Chadema hivi karibuni CCM chukueni taadhari

Hahahahahah nachoweza kukushauri ni kwamba hakikisha umevaa pampasi ili usije ukachakaza godoro kwa hizo ndoto zako😁!

Hakuna mtu ambaye atakubali kukabidhi VXR na posho za ubunge au cheo ili tu akakipiganie Chadema ambacho mnufaika namba moja wa Ruzuku ni Aikaeli.
 
Weka majina!
 
Kama akina mdee watasamehewa Basi, Imani ya upinzan nchini itazikwa, itabd kuangalia namna nyingine ya kupambana na CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…