Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Wakulu salama....??
Jana nlikuwa shamba katika kusheherekea sikukuu yetu ile nikakutana na picha nlowapigeni enzi hizo.
Mnaviona hivyo vidume viwili ambavyo havijavaa kaptula? Wa kushoto ni BAGAH na mwingine ni Erickb52
Kisichana kilichotinga blue ndo Mamndenyi wakati cha kulia kabisa ndio ummu kulthum. Kushoto mwa Erickb52 ni KARIA nyuma yake ndo princess enny. Kidume kilicho mbele bila shati ndio Kaizer sasa. Kulia kwa Kaizer ni kilimasera na kushoto kwake ndio Madame B. Nyuma ya Madame B yuko Judgement. Hako kalikobebwa na Kongosho ndio charminglady. Anayechungulia kwa nyuma kabisa ni HYGEIA wakati yule tall kuliko wote ndio Eversmilin Gal
Hapa ni beibe nasty, wahida, Cantalisia na Catherine wakikata mkonyonyo. Radio ya philips haionekani hapo wala DJ Bishanga naye kamera haikumnasa
Sasa hebu angalia watu wanavyobadilika:
Mentor na Catherine
Kongosho akimshikisha adabu Erickb52
Bishanga akiwa kishashiba
@Mamndenyi akimchekesha Yummy
Kaizer akimsindikiza mwaJ
charminglady na platozoom
Wake zangu Yummy, BADILI TABIA na cacico, ile albamu nyingine mmeiweka wapi??
Jana nlikuwa shamba katika kusheherekea sikukuu yetu ile nikakutana na picha nlowapigeni enzi hizo.
Mnaviona hivyo vidume viwili ambavyo havijavaa kaptula? Wa kushoto ni BAGAH na mwingine ni Erickb52
Kisichana kilichotinga blue ndo Mamndenyi wakati cha kulia kabisa ndio ummu kulthum. Kushoto mwa Erickb52 ni KARIA nyuma yake ndo princess enny. Kidume kilicho mbele bila shati ndio Kaizer sasa. Kulia kwa Kaizer ni kilimasera na kushoto kwake ndio Madame B. Nyuma ya Madame B yuko Judgement. Hako kalikobebwa na Kongosho ndio charminglady. Anayechungulia kwa nyuma kabisa ni HYGEIA wakati yule tall kuliko wote ndio Eversmilin Gal
Hapa ni beibe nasty, wahida, Cantalisia na Catherine wakikata mkonyonyo. Radio ya philips haionekani hapo wala DJ Bishanga naye kamera haikumnasa
Sasa hebu angalia watu wanavyobadilika:
Mentor na Catherine
Kongosho akimshikisha adabu Erickb52
Bishanga akiwa kishashiba
@Mamndenyi akimchekesha Yummy
Kaizer akimsindikiza mwaJ
charminglady na platozoom
Wake zangu Yummy, BADILI TABIA na cacico, ile albamu nyingine mmeiweka wapi??