Mtanzania1
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 1,168
- 167
Omera alikuwa mlinzi wa shule wakati uleAyaaaaa umenikumbusha mbali sana sadi na saidi! Mi
Nilikua nasoma mapinduzi pembeni yupo muuza mapera omera na mwanae sikitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Omera alikuwa mlinzi wa shule wakati uleAyaaaaa umenikumbusha mbali sana sadi na saidi! Mi
Nilikua nasoma mapinduzi pembeni yupo muuza mapera omera na mwanae sikitu
Ooh RIP Kamanda.......Rpc Mwakabuta alifariki mwaka juzi dar,alikuwa amesha toka kazini.
Ndiyo mkuu.
Omera alikuwa mlinzi wa shule wakati ule
nami nilicheza sana basketiboli hapo....mudi msomali (kazeeka sasa hivi) yupo sweden... bradha Dick Urasa ni marhum (RIP)...chesi...majuto na Muna lipangile
Musa Mgata na dada yake alikuwa bongebonge hivi wakati huo. Yohana, Amani na dada yao Ivonne nasikia wako Usa......siku nyingi zimepita nakumbuka sana jiwe la gangilonga....migagi pale shuleni gaprisco.........zambarau kwa kina makia siyovelwa.....machungwa kwa kina david mung'ong'o......duuuuhhhhhh
"Natamani siku zirudi nyuma.........." - Lady JD
omera alikuwa mweusi,pale pembeni shule ya mapinduzi kama unaenda jiwe gangilonga kuna tajiri alikuwa anaitwa Kisigo
Ndio kisigo ana nyumba ingine mjini uhindini ukuta mmoja na mt huwel karibu na duka la premji
Pita nani kakushika Miguu Mfyuuuuuuuuu...Napita
Duuh inaelekea wewe umesoma enzi za 1982 hivi... Mimi nilikuwepo darasa moja na Zena Mkwawa,Nassor Mkwanda,Stewart,Sadi na Said(Watoto wa DD Nurdin),Vedasto,Nyambilila,Joyce Kibasa,Clement Kiwia etc tulimaliza 1987...
Tusker baridiii! je wewe ninani hasa? nadhani tulisoma wote enzi hizo maana hawa members wote nawajua. Je unamkumbuka ISACK OGUNDESI? Nasoro mara ya mwisho alikuwa moro mhasibu wa manispaa ya wilaya.Duuh inaelekea wewe umesoma enzi za 1982 hivi... Mimi nilikuwepo darasa moja na Zena Mkwawa,Nassor Mkwanda,Stewart,Sadi na Said(Watoto wa DD Nurdin),Vedasto,Nyambilila,Joyce Kibasa,Clement Kiwia etc tulimaliza 1987...
huyohuyo mkuu sijui kama bado yupo,majuto lipangile na dada yake muna lipangile(r.i.p)ni ndugu na zainabu (zay b)kitambo sana gangilonga
miaka hiyo utakuwa umesoma na uswege alikuwa machachari sana mpirani baadae alikwenda soma highland,bila shaka utawakumbuka kina selina ngahuga,joseph mafole,ramadhani,,nancy mawere ila huyu alimtangulieni......duh those sweet days.........niliipenda sana hii story ya wanagangilonga mimi ni kati ya waliosoma mwaka 1983 hadi 1990 kwa kweli kulikuwa na mazuri na mabaya yake kwa wanafunzi wa gangilonga hasa kwa mwanafunzi mmojammoja mfano gangilonga ilikuwa ni shule ya watu wa hali ya juu sana ninamaana kalibu asilimia 97 maisha yao yalikuwa ya juu sana sasa kama mwenzangu na mimi ungekuwa kama mimi ilikuwa ngumu sana chukulia huna viatu vya shule yuniform paire moja tena huna hera ya kufua kila siku inakuwa hatari sana nawakumbuka kina samora mbawala william mshangama msafili makumuro na wengine wengi mimi ni geraldy kibassa
Majuto mzima bwana, yupo kwao Segerea Dsm.duh kumbe majuto amefariki.....very sad.........