Hii thread inanikumbusha
mbali sana sana
Tusker Baridii nafikiri tulikuwa wote class moja, mi nilikuwa Class ya 1987, hii thread inanikumbumbusha mbali sana sana, class mate wangu walikuwa ni Kina Joyce Kibasa, Zena Mkwawa, Nyambilia Amuru, Makumulo Waziri, Stewart Mwakabuta, Idi Mtalika, Nasoro Mkwanda, Mercy Sanga, Charles Lusinde, Gloria John (mtoto wa RTO), Moses Mkandawile (RIP). Tulipomaliza seven me nilikukwenda Ifunda Tech Secondary School, lkn Colleagues wangu wengi walikwenda Lugalo Sec.