Wana Gangilonga mpo?

we uchira1 mbona hilo ndilo lilikuwa chama langu! Kama utakumbuka demu wangu alikuwa Zena na iko siku moja nikakuta wanapeana sound na Godfrey mbwilo pale kwenye mti mkubwa, bahati nzuri shaban wa ndiuka alikuja na yai viza mbili, akapiga walipokaa kisha TUKATELEZA kimyakimya maana tuliogopa jamaa yeye alikuwa darasa la juu yetu na alikuwa superstaa wa Breakdance. unamkumbuka Nassoro eti alikuwa anajidai yeye ni Micheal Jackson
 
Namkumbuka sana Nassoro alivyokuwa anafunga mayenu, na yule jamaa wa stori za cinema za kihindi unamkumbuka?? sikumbuki jina lake. Please ni PM.
 
Naomba tukumbushane enzi za shule.
Mnamkumbuka walimu wa kuu MR Mndeme na kipigo chake na Mr amuri?
Pia muheshimiwa John komba alitufundisha siasa tukiwa darasa la 4 alivyo maliza jkt mafinga alikuwa mwembamba sana (mwalimu wa upe)

Kumbe ni jina la shule mimi nilidhan ni aina ya dawa
 
Namkumbuka sana Nassoro alivyokuwa anafunga mayenu, na yule jamaa wa stori za cinema za kihindi unamkumbuka?? sikumbuki jina lake. Please ni PM.
Jamaa wa story za movie za kihindi nadhani alikuwa anaitwa IBRA, alikuwa mjanjajanja hivi, kwa mwezi anakuja shule siku kumi tu, nakumbuka alitaka kuniingiza mkenge eti nichukue mtungi wa gesi home nimpe akauze.
 
Wana Gangilonga mpo? juzi nilikutana na mwl Hassan dhabiu, bila shaka wewe wa miaka yetu utamkumbuka
alikuwa head teacher miaka yetu na kwa sasa ni mwl mkuu shule ya msingi kihesa ana jiandaa kustaafu
kiukweli alisikitika sana, kuona wanagangilonga tumejisahau hata kuikumbuka shule yetu kwani anataarifa za wadau
wengi wa Gangilonga kuwa wapo juu kimaisha wengi ni wataalamu wa fani tofauti kanipa kazi moja
ya kutafuta no zenu nimtumie aitishe kikao hapa Dar kama wanavyofanya watu a mikoa ya kaskazin.
huu mtandao wetu tuu imarishe ili tuweze anzisha mfuko wa kuisaidia shule yetu.
mimi nilisoma mwaka 1984 to 1990 na no 1 wetu drsn ni Eng Hery sanga , Asimwe bashagi, elton mgongolwa ,andambike mgata ,zena amuri farida kyula, farisa mohamed, selwin john, ipyana mwabwalwa, taba hamis ,ramla kayugwa stan ndali, patrick kihomano, patrick mtenzi, said kitembe korosha mshangila ,niko mwakasege,sifael kulanga
naly mkandawile, sanura nurdin, fatuma nurdin (rip) oscar chongola stela silayo, lukas kambanyuma, kisa mwakalundwa,
husein nose george chagu christian mpalile n.k
 

Kumbe ulikuwa unanichukulia demu wangu Zena? Bahati yako sikukujua, ningekuloga!
 
Gangilonga daaah kimbizwa sana na mbwa wa pale kota za maticha wa kleruu
 
Tusker baridiii! je wewe ninani hasa? nadhani tulisoma wote enzi hizo maana hawa members wote nawajua. Je unamkumbuka ISACK OGUNDESI? Nasoro mara ya mwisho alikuwa moro mhasibu wa manispaa ya wilaya.

Mimi nilihama 1986 tukiwa la sita.
 

Niliandika muda mrefu uliopita,hebu tufanye linalowezekana katika kuisaidia shule yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…