Nisingefika dsm..nisinge ijua jf..wewe umeijulia wapi?Kwa sisi wanajamiiforum wa vijijini ambao toka tuzaliwe hatujawahi kukanyaga Hilo jiji hebu tukutane hapa na kufarijiana maana wanadarisalama wanatudharau Sana. Jambo moja kubwa ambalo naamini kwa asilimia Mia moja ni kwamba sisi wanaume wa vijijini tunawazidi nguvu wanaume wa dar.
Asante Ila tuna nguvu za kuwapiga na za kuwapa dozi my wifu wenu.Pale washamba wa vijijini wanapotua Dar kwa mara ya kwanza😁😁😁
View attachment 1992026
Mbeya Sehemu GaniMbeya tupo tele jf.japo bongo twaigusa daily...uliyesema bila dar jf no kuijua...tambua jf ni mtandao kama surakitabu
Upo Wapi Kasulu, Kibondo, Uvinza, Kakonko, BuhigweWakigoma tupo wengi mno
Kajichora sanaJamaa ameonyesha ushamba wake.
Nguvu za kiume huku ni hizi.Kwa sisi wanajamiiforum wa vijijini ambao toka tuzaliwe hatujawahi kukanyaga Hilo jiji hebu tukutane hapa na kufarijiana maana wanadarisalama wanatudharau Sana. Jambo moja kubwa ambalo naamini kwa asilimia Mia moja ni kwamba sisi wanaume wa vijijini tunawazidi nguvu wanaume wa dar.
Soma vema ulichoandika mkuu ni kama unatufanya turudierudieUsifike dar alafu uweze kuwa member wa jf halafu uweze kuwa member wa jf hii imekaaje?
Home uyole mkuu,job inyalaMbeya Sehemu Gani
Umetisha SanaHome uyole mkuu,job inyala