Stavros Myles
JF-Expert Member
- Jun 7, 2020
- 350
- 390
Ngoja nidake popcorn wakati natazama series ya Sleepy Hollow. Kwa mbali nitakuwa naangalia michango ya wanadarisalama (bhakumbwani) 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu...Wapi Kyerwa, Kayanga, Omurushaka, Bulila, Nshamba Ama
Jirani huyoooooooo nipo darajani hapa karibu na 8 8Home uyole mkuu,job inyala
Ngoja nikutembelee mkuuJirani huyoooooooo nipo darajani hapa karibu na 8 8
Nimeijua Jf kipindi nipo mpitimbi songea ,,, Kwaiy sharti la kuijua Jf lazma uwepo Dar ni batili MkuuNisingefika dsm..nisinge ijua jf..wewe umeijulia wapi?
#MaendeleoHayanaChama
Alikuambia nan? Tunavyokula mjin na huko mikoan vinafikaAsante Ila tuna nguvu za kuwapiga na za kuwapa dozi my wifu wenu.
Hata wewe!!!Tupo wengi tu mkuu.
Kwenda Dar wala siyo big deal..
Mkoani panatutosha.
Mimi wala sina mpango wa kwenda huko .
Sent using Jamii Forums mobile app