Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hali tete kwa vijanaConnection unamaanisha...?
Umenishtua sana kwa kusena TUSIPENDE KUTESANA, fafanua kidogo mkuu kuna tatizo gani?Kwa kujua watu wengi kwa sababu ya biashara, urafiki na kubadilishana mawazo . Humu jf wengi ni watu wazima sio wanawake au wanaume wote ni watu wazima humu hakuna mtu ana 29 kushuka chini humu 31 kupanda juu .
Ushauri tuheshimiane na kusaidiana tusipende kutesana ni muda wakutoa mada za kusaidiana . Nakutatua mambo kama watu wazima huku no kids to share child stories , .
Dada binamu tumeshafukuzwa 😂ko sisi wenye 29 kushuka chini uwepo wetu hautambuliki kabisa humu
Mambo yamebadilika ata kutembeleana hakuna, tunahofia unaweza kutumalizia chakulaNaunga mkono hoja
Jf inazidi kuangamia ......zile thread za kuwezeshana zinapungua
Wewe ni mzee hatari sana acha kudanganya umaDada binamu tumeshafukuzwa 😂
Mtu anajitambua na nimtu mzima anakebehi wanawake hawa ni malaya , mtu ananuka K hii ni mbaya sanaUmenishtua sana kwa kusena TUSIPENDE KUTESANA, fafanua kidogo mkuu kuna tatizo gani?
tuondoke tu cuzoDada binamu tumeshafukuzwa 😂
Kwani unayo Donatila ?Connection unamaanisha...?
Mamdogo una vituko..!!ko sisi wenye 29 kushuka chini uwepo wetu hautambuliki kabisa humu
Eh mtu awe matured awape watu madini sio mawe tu kama mawe.Connection unamaanisha...?
Mi sina bana..!! Kwanza ndo nilikuwa nataka kukuomba.Nasubiri unipe kaka yangu...