Wana JamiiForums waliosoma na Paul Makonda

Wanaofeli shule/darasani huwa wanafaulu sana maisha...

Sijui kwa nini...
 
watu mna mamboπŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„ bwabwa maharage lazima usinzie kidogo
 
Kuna picha inazunguka huko ma Whatsap na Instagram kwamba eti huyo aloyepiga usingizi wakati wenzake wakitafta vyeti halali ni Gavana ,wa hapo New York ya Tanzania,

Najiuliza swali huu ujasili wa kutupia picha za watu wakiwa hawataki picha za aina hiyo kuonekana mnaupata wapi??

Labda tunakosea sana si yeye,
Lakin nauliza jamaa hana vyeti kweli?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…