Wana JamiiForums waliosoma na Paul Makonda

Wana JamiiForums waliosoma na Paul Makonda

Kuna picha inazunguka huko ma Whatsap na Instagram kwamba eti huyo aloyepiga usingizi wakati wenzake wakitafta vyeti halali ni Gavana ,wa hapo New York ya Tanzania,

Najiuliza swali huu ujasili wa kutupia picha za watu wakiwa hawataki picha za aina hiyo kuonekana mnaupata wapi??

Labda tunakosea sana si yeye,
Lakin nauliza jamaa hana vyeti kweli?

View attachment 1060816
Sio lazima mda wote usome huwezijua kasoma mda gani... Watu wa namna hiyo wapo wengi.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
IMG_20190401_114054.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna kosa lolote wala cha kushangaza hapo! Kupumzika ni kawaida tu sema mmeamua kuitungia hiyo picha sentensi zenu mnazozitaka.
 
We huoni sura ni yeye kabisa!!!!we unazani zile f f f f f f f zilisababishwa na nn kama sio huo usingizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waswahili hamueleweki.

Si huwa mnasema kufeli shule sio kufeli maisha.

Sasa kama alipata f f f f na kwa sasa amekuzidi wewe kwa almost kila kitu pamoja na hizo A zako. Nani anakuwa amefaulu kimaisha ?
 
Back
Top Bottom