Sio lazima mda wote usome huwezijua kasoma mda gani... Watu wa namna hiyo wapo wengi.Kuna picha inazunguka huko ma Whatsap na Instagram kwamba eti huyo aloyepiga usingizi wakati wenzake wakitafta vyeti halali ni Gavana ,wa hapo New York ya Tanzania,
Najiuliza swali huu ujasili wa kutupia picha za watu wakiwa hawataki picha za aina hiyo kuonekana mnaupata wapi??
Labda tunakosea sana si yeye,
Lakin nauliza jamaa hana vyeti kweli?
View attachment 1060816
BashiteHuyu ni mwenyekiti wa koromije
Waswahili hamueleweki.We huoni sura ni yeye kabisa!!!!we unazani zile f f f f f f f zilisababishwa na nn kama sio huo usingizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu na husuda za wazembeHamna kosa lolote wala cha kushangaza hapo! Kupumzika ni kawaida tu sema mmeamua kuitungia hiyo picha sentensi zenu mnazozitaka.
HUYU NDIO ALIETISHIA KUMPIGA BASTOLA MZEE WA BAO TAMU SANA LA MKONONI
nape namjua vizuri huyo, kisanduku siyo/// zee la kuchomoa bastola,aisee siku ile kawekwa kwenye defender na mbowe,mwili ulisisimuka maskini mbowe akawa anacheka naye nafikiri hakumjua