Ndioduuh
Nikirudi nakupa jibu.nimewasha nasubiri jibu lako
Hahahaaa!!sijui kama kuna mahali nilikosea
maana wewe hujabadilika ukawa hivi
ukibadilika hadi ww nitajiuliza hili swali kwa umakini
Umeona eee.ana nia njema huyo maana atakuwa hataki nilale
si unajua night kali mida ya kabali
Atafata nyayo zangu tu.
We subiri
Mmhh we kibokoInakaa.
Unaiviringisha mpaka inakuwa kama sigara.
Ukiona haikai, pakazaa mafuta ya mgando afu unailalisha.
Hata ucheze vipi...imekaa tu kule inajitunza.
Ukienda msalani, unafanya yako kisha kabla ya kuinuka unaibananisha, unatambaa zako.
Maisha yenyewe mafupi
Mwenza mie ngoja niwafungie chumbani muongee vizuri.Hahahaaa!
Itakuwa maana kaamkia kwako leo.
Kesho atakuwekea mirungi
naomba usibadilikeHahahaaa!
Mwenza mie ngoja niwafungie chumbani muongee vizuri.
Ngoja nikatafute chochote kile kwa usiku.
naomba usibadilike
maana nita log off kisha nitakuwa najisomea kwa aibu tu
hata hivyo huyo humuwezi ni kiboko yako
aaa sana anatukomesha kwa mpigoHuyu kiboko yetu sote, ndio maana nampenda.
huyo nomaa navyokwambiaYaani we ndio kumekucha jamani!!!!
Hahahaa duu kwa hiyo kama ni duka kwenye ikweta unaweza ku swipe credit cardNdani ya sidiria tunawekaga tishu.
Tuulize.
Afu sehemu ingine tunapowekaga pesa ni pale katikati ya ikweta.
Hapa hata aje mwizi haipati.
Tunaiviringisha na tissue kisha tunaibana huko makalioni....maisha yanasonga
huyo nomaa navyokwambia
aaa sana anatukomesha kwa mpigo
nachompendea hana aibu wapo wachache sana
Hahaha hii tabia wanayo wateja wangu wacongo,yaani wanavyozificha hizo dollar katikat ya ikweta,akitaka kununua kitu lazima aingie chooni azitoe,na zinakua zinanuka mfyuu.Ndani ya sidiria tunawekaga tishu.
Tuulize.
Afu sehemu ingine tunapowekaga pesa ni pale katikati ya ikweta.
Hapa hata aje mwizi haipati.
Tunaiviringisha na tissue kisha tunaibana huko makalioni....maisha yanasonga