Wana JF hii ya wanawake kuweka hela kwenye maziwa ndani ya sidiria haina madhara kwa watoto wanaonyonya na wazee wa kunyapianyapia...

Wana JF hii ya wanawake kuweka hela kwenye maziwa ndani ya sidiria haina madhara kwa watoto wanaonyonya na wazee wa kunyapianyapia...

Hiyo avatar ni wew?
Ndani ya sidiria tunawekaga tishu.
Tuulize.

Afu sehemu ingine tunapowekaga pesa ni pale katikati ya ikweta.
Hapa hata aje mwizi haipati.
Tunaiviringisha na tissue kisha tunaibana huko makalioni....maisha yanasonga
 
Back
Top Bottom