Tyrex
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,373
- 5,100
Hiyo avatar ni wew?
Ndani ya sidiria tunawekaga tishu.
Tuulize.
Afu sehemu ingine tunapowekaga pesa ni pale katikati ya ikweta.
Hapa hata aje mwizi haipati.
Tunaiviringisha na tissue kisha tunaibana huko makalioni....maisha yanasonga