Asante sana! Niandalie maji ya ukili nikija niyaoge!
Mimi kwa kweli sijawahi kufanyiwa ugagura kwenye mapenzi!.. The secretary, try me plz!Ya iliki nishayaoga sana. Sasa nataka ya ukili. Hayo ya iliki aandaliwe PakaJimmy! Lol...
Ya iliki nishayaoga sana. Sasa nataka ya ukili. Hayo ya iliki aandaliwe PakaJimmy! Lol...
Wapenda wana Jf wenye safari ya kuja TA karibuni sana tunawasubiria sana.
ukifika utayakuta maji yameandaliwa.. Karibu sana
mtakatifu nipe siri kuna kitu gani hapa