Wana Jf Karibuni Tanga

Wana Jf Karibuni Tanga

Sasa wanatukuta wapi hawa wapenda hapa tanga? Sijui wameshaanza safari? Au wankuja usiku? Karibuni tanga chuda raha makorora tunadeka
 
Asante ndugu, hivi shule ya St. Christina ipo Tanga mjini? Naleta kid tar 10 January aanze form one. Nafikaje hapo nikitokea Nyinda Executive Inn? (Hapo ndio ntafikia)
 
Sasa wanatukuta wapi hawa wapenda hapa tanga? Sijui wameshaanza safari? Au wankuja usiku? Karibuni tanga chuda raha makorora tunadeka

wasiliana na babu Dc ndo mwenye mipango
 
Back
Top Bottom