Mi nipo jirani yako hapo mombasa
Wapenda wana Jf wenye safari ya kuja TA karibuni sana tunawasubiria sana.
waongo utawajua tu!....hujambo wewe
heheheeeee yan humo ni full rahanishachukua chumba
ujue mila ya kwetu huwezi kuonana na watu mikono mitupu nataka kila mtu nimletee maembe kwenye mifuko ya condom imejaa mpakaa juu
Achana nae huyo nyau! Wivu tu unamsumbua!
Nimeghairi, siendi tena. Liwalo na liwe!
Nimeghairi, siendi tena. Liwalo na liwe!
St. Paka Mweusi unaona hapo juu nilipoboldi, unakubaliana na chilipoo anachokine?? halafu anakuita nyau?
Arabela huko tanga tutarudi na roho zetu kweli.....!!! nihakikishie usalama kwanza wa nguo zangu kutokurowekwa kwenye maji siku ya kuondoka