Wana JF kuna 15000Tsh kwa atakaejibu swali hili.

Wana JF kuna 15000Tsh kwa atakaejibu swali hili.

(1)Aliyeona akakusimulia habali zake huwa zinakuwa kwa kipindi maalumu yaani inategemeana na uhai wa msimuliaji
(2)Aliyesikia akakusimulia habali zake hazina mda maalum inaweze ikachukua miaka na miaka
(3)Aliyeona akakusimulia mara nyingi huwa inakuwa habali ya ukweli mtupu
(4)Aliyesikia akakusimulia mara nyingi huwa habali yake inaongezwa chumvi
sawa izo ni mbili umetaja bado mbili
 
A} ALIYEONA AKIKUSIMULIAB} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA
  1. Alikuwepo eneo la tukio | 1. Hakuwepo eneo la tukio
  2. Anaeleza kwa uhakika zaidi | 2. Anaweza kutoeleza kwa uhakika
  3. Anaeleza kwa hisia za kibinafsi | 3. Anaeleza kwa kutumia habari za mtu mwingine
  4. Anaweza kutoa maelezo ya kina | 4. Anaweza kukosa baadhi ya maelezo muhimu
  5. Uelewa wake unatokana na uzoefu wa moja kwa moja | 5. Uelewa wake unatokana na kusimuliwa na wengine
 
  1. Chanzo cha taarifa:
    • Aliyeona anapata taarifa moja kwa moja kupitia kuona, hivyo anaweza kutoa maelezo ya kina zaidi.
    • Aliyesikia anapata taarifa kupitia sauti, ambayo inaweza kuwa na ukosefu wa maelezo ya kina.
  2. Uhalisia wa tukio:
    • Aliyeona anaweza kuelezea mambo kama jinsi yalivyokuwa, ikiwemo hisia na mazingira.
    • Aliyesikia anaweza kuelezea tu kile alichosikia, bila picha ya halisi.
  3. Uthibitisho:
    • Aliyeona anaweza kuthibitisha ukweli wa tukio kwa ushahidi wa moja kwa moja.
    • Aliyesikia anaweza kuleta uvumi au maelezo yasiyo na uhakika.
  4. Uelewa wa hisia:
    • Aliyeona anaweza kuelewa na kuelezea hisia za wahusika kutokana na uhalisia wa tukio.
    • Aliyesikia anaweza kuwa na ufahamu mdogo wa hisia hizo.
  5. Usahihi wa maelezo:
    • Aliyeona anaweza kuwa na maelezo sahihi zaidi kutokana na uzoefu wa moja kwa moja.
    • Aliyesikia anaweza kuwa na maelezo yasiyo sahihi kutokana na tafsiri ya mtu mwingine.
upo vizuri ila ungetaja 4 mkuu. zingatia jedwali apo juu umeshatajiwa moja
 
A} ALIYEONA AKIKUSIMULIAB} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA
  1. Alikuwepo eneo la tukio | 1. Hakuwepo eneo la tukio
  2. Anaeleza kwa uhakika zaidi | 2. Anaweza kutoeleza kwa uhakika
  3. Anaeleza kwa hisia za kibinafsi | 3. Anaeleza kwa kutumia habari za mtu mwingine
  4. Anaweza kutoa maelezo ya kina | 4. Anaweza kukosa baadhi ya maelezo muhimu
  5. Uelewa wake unatokana na uzoefu wa moja kwa moja | 5. Uelewa wake unatokana na kusimuliwa na wengine
namba point namba nne na namba mbili ni point moja
 
A} ALIYEONA AKIKUSIMULIAB} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA
  1. Alikuwepo eneo la tukio | 1. Hakuwepo eneo la tukio
  2. Anaeleza kwa uhakika zaidi | 2. Anaweza kutoeleza kwa uhakika
  3. Anaeleza kwa hisia za kibinafsi | 3. Anaeleza kwa kutumia habari za mtu mwingine
  4. Anaweza kutoa maelezo yenye ushahidi wa macho | 4. Anaweza kutegemea uvumi au nadharia
  5. Anaeleza tukio jinsi lilivyotokea kwa wakati halisi | 5. Anaweza kuathiriwa na mabadiliko au tafsiri za simulizi
    "NAOMBA FEDHA NDUGU YANGU"
 
Screenshot_20240919-203132_Gallery.jpg
 
A} ALIYEONA AKIKUSIMULIAB} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA
  1. Alikuwepo eneo la tukio | 1. Hakuwepo eneo la tukio
  2. Anaeleza kwa uhakika zaidi | 2. Anaweza kutoeleza kwa uhakika
  3. Anaeleza kwa hisia za kibinafsi | 3. Anaeleza kwa kutumia habari za mtu mwingine
  4. Anaweza kutoa maelezo ya kina | 4. Anaweza kukosa baadhi ya maelezo muhimu
  5. Uelewa wake unatokana na uzoefu wa moja kwa moja | 5. Uelewa wake unatokana na kusimuliwa na wengine
umechoraje mkuu?
 
Sentensi hizi ni ambiguous
1)Aliyeona akikusimulia na,
2)aliyesikia akikusimulia


Inawezekana kuna third party anayewaangalia kwahio wakati unasimuliwa aliona na mwingine wakati unasimulia alisikia pia.... wote inawezekana walikuona na kukusikia au mmoja wao aliwaona na mwingine aliwasikia
 
Toa\taja tofauti tano (5) kati ya
1)Aliyeona akikusimulia na,
2)aliyesikia akikusimulia

Mimi nitaanza kwa kujibu tofauti ya kwanza.

A} ALIYEONA AKIKUSIMULIAB} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA
1.Alikuwepo eneo la tukio1.Hakuwepo eneo latukio
2.
3.
4.
5.
Je kama aliyeona aliona picha tu ila hakusikia, si atatunga maelezo yake kulingana na picha aliyoiona.
 
Toa\taja tofauti tano (5) kati ya
1)Aliyeona akikusimulia na,
2)aliyesikia akikusimulia

Mimi nitaanza kwa kujibu tofauti ya kwanza.

A} ALIYEONA AKIKUSIMULIAB} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA
1.Alikuwepo eneo la tukio1.Hakuwepo eneo latukio
2.
3.
4.
5.
2 Alikuwepo ( Aliona)
3 Aliambiwa (Hakuona)
4 Hafahamu (Hata kama alisikia, Haimuhusu)
5 Mashabiki ( Hawa hawataki kuelewa, Maneno yametoka wapi ila Nikuvumisha tu)
(7) ikikupendeza Naomba hata Buku Tu, Unga umeisha KAKA
 
Toa\taja tofauti tano (5) kati ya
1)Aliyeona akikusimulia na,
2)aliyesikia akikusimulia

Mimi nitaanza kwa kujibu tofauti ya kwanza.

A} ALIYEONA AKIKUSIMULIAB} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA
1.Alikuwepo eneo la tukio1.Hakuwepo eneo latukio
2.
3.
4.
5.
Umenikumbusha penzi langu na binti kiziwi.
 
Back
Top Bottom