Wana JF kuna 15000Tsh kwa atakaejibu swali hili.

sawa izo ni mbili umetaja bado mbili
 
A} ALIYEONA AKIKUSIMULIAB} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA
  1. Alikuwepo eneo la tukio | 1. Hakuwepo eneo la tukio
  2. Anaeleza kwa uhakika zaidi | 2. Anaweza kutoeleza kwa uhakika
  3. Anaeleza kwa hisia za kibinafsi | 3. Anaeleza kwa kutumia habari za mtu mwingine
  4. Anaweza kutoa maelezo ya kina | 4. Anaweza kukosa baadhi ya maelezo muhimu
  5. Uelewa wake unatokana na uzoefu wa moja kwa moja | 5. Uelewa wake unatokana na kusimuliwa na wengine
 
upo vizuri ila ungetaja 4 mkuu. zingatia jedwali apo juu umeshatajiwa moja
 
namba point namba nne na namba mbili ni point moja
 
A} ALIYEONA AKIKUSIMULIAB} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA
  1. Alikuwepo eneo la tukio | 1. Hakuwepo eneo la tukio
  2. Anaeleza kwa uhakika zaidi | 2. Anaweza kutoeleza kwa uhakika
  3. Anaeleza kwa hisia za kibinafsi | 3. Anaeleza kwa kutumia habari za mtu mwingine
  4. Anaweza kutoa maelezo yenye ushahidi wa macho | 4. Anaweza kutegemea uvumi au nadharia
  5. Anaeleza tukio jinsi lilivyotokea kwa wakati halisi | 5. Anaweza kuathiriwa na mabadiliko au tafsiri za simulizi
    "NAOMBA FEDHA NDUGU YANGU"
 
umechoraje mkuu?
 
Sentensi hizi ni ambiguous
1)Aliyeona akikusimulia na,
2)aliyesikia akikusimulia


Inawezekana kuna third party anayewaangalia kwahio wakati unasimuliwa aliona na mwingine wakati unasimulia alisikia pia.... wote inawezekana walikuona na kukusikia au mmoja wao aliwaona na mwingine aliwasikia
 
Toa\taja tofauti tano (5) kati ya
1)Aliyeona akikusimulia na,
2)aliyesikia akikusimulia

Mimi nitaanza kwa kujibu tofauti ya kwanza.

A} ALIYEONA AKIKUSIMULIAB} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA
1.Alikuwepo eneo la tukio1.Hakuwepo eneo latukio
2.
3.
4.
5.
Je kama aliyeona aliona picha tu ila hakusikia, si atatunga maelezo yake kulingana na picha aliyoiona.
 
Toa\taja tofauti tano (5) kati ya
1)Aliyeona akikusimulia na,
2)aliyesikia akikusimulia

Mimi nitaanza kwa kujibu tofauti ya kwanza.

A} ALIYEONA AKIKUSIMULIAB} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA
1.Alikuwepo eneo la tukio1.Hakuwepo eneo latukio
2.
3.
4.
5.
2 Alikuwepo ( Aliona)
3 Aliambiwa (Hakuona)
4 Hafahamu (Hata kama alisikia, Haimuhusu)
5 Mashabiki ( Hawa hawataki kuelewa, Maneno yametoka wapi ila Nikuvumisha tu)
(7) ikikupendeza Naomba hata Buku Tu, Unga umeisha KAKA
 
Toa\taja tofauti tano (5) kati ya
1)Aliyeona akikusimulia na,
2)aliyesikia akikusimulia

Mimi nitaanza kwa kujibu tofauti ya kwanza.

A} ALIYEONA AKIKUSIMULIAB} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA
1.Alikuwepo eneo la tukio1.Hakuwepo eneo latukio
2.
3.
4.
5.
Umenikumbusha penzi langu na binti kiziwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…