Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,415
- 3,924
Wana jf makaka na masister mambo vipi? Poleni na Siku za wiki za mikiki mikiki, leo weekend siku ya kuchangamsha ubongo, na kwenye meza pachangamke alooo,
Kidogo machozi ya Simba, mishikaki kidogo na mdudu kwa mbali aisee kitu mwake mwake, nimemiss sana hizo siku, ila siku zote gharama, nami nashindwa kwenda maeneo ya kujidai leo siko poa viwanja,
Yani leo mifuko yangu leo inasema tuzike au tusafirishe, yote kwa sababu ya matukio ya kimaisha hela haikai, Wana jf aliepo vizuri anisidikizieko siku yangu iende vizuri kiufupi nimekwama kutoka leo, najua starehe gharama ila nikipata ya bia mbili tatu siku yangu murua kabisa,
Unaweza ukanicheck hapa kwa 0674615883 kwa maelekezo zaidi.
Kidogo machozi ya Simba, mishikaki kidogo na mdudu kwa mbali aisee kitu mwake mwake, nimemiss sana hizo siku, ila siku zote gharama, nami nashindwa kwenda maeneo ya kujidai leo siko poa viwanja,
Yani leo mifuko yangu leo inasema tuzike au tusafirishe, yote kwa sababu ya matukio ya kimaisha hela haikai, Wana jf aliepo vizuri anisidikizieko siku yangu iende vizuri kiufupi nimekwama kutoka leo, najua starehe gharama ila nikipata ya bia mbili tatu siku yangu murua kabisa,
Unaweza ukanicheck hapa kwa 0674615883 kwa maelekezo zaidi.