Wana JF mnaofahamiana nje ya JF kwa sababu ya JF njooni

Hakuna hata mmoja ninaye fahamiana nae wa hapa JF.
Labda nianze kutuma PM na Mimi naweza pata mtu.
 
mimi nafahamia nao ila wote tunajuana tuko JF ila hkuna anaemjua mwenzake ni nani.
wengi tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…