Wana JF msaada jamani katika mauzoefu yenu mmeshakutana na hii?

Women need a reason to have sex, but men just need a place :eyebrows::eyebrows:

Kwani huyo rafiki yake Maty kakosa nini? Mbona maelezo yako clear kabisa kuwa kahangaika miezi 6 akitafuta upenyo wa kukutana na huyo mtu? Yaani kama haoni hiyo golden chance basi ana matatizo zaidi ya hayo tuliyoelezwa
 
Kwahiyo for the first day bora akubali kumegwa for the sake of love?ninachoamini kama atamkimbia kisa kamkatalia kegwa day 1 no love there,jamaa kaona mboga iko mezani wacha aendelee lkn kiuhalisia wanahitaji muda plz


Wiselady, MUKTADHA wa hil tundiko, pamoja na urefu wake ni kwamba binti anaogopa akienda kwa jamaa atamegwa...sasa mi nikadhani kumegwa tu sio issue kwa nini asiogope vingine? akienda kuwa strangled je?

na nikajiuliza kwani kumegwa what is the problem kama amemfeel ki ivyo? then wamekuwa 'wakidate anonymously" kwa miezi 6 so hapo hakuna cha kwamba eti ndo mara ya kwanza in fact it is long overdue:A S thumbs_up::dance: aende tu
 

Shemeji nimekuelewa ila ndio ampe siku hiyo hiyo jamani lol
 
Kwani huyo rafiki yake Maty kakosa nini? Mbona maelezo yako clear kabisa kuwa kahangaika miezi 6 akitafuta upenyo wa kukutana na huyo mtu? Yaani kama haoni hiyo golden chance basi ana matatizo zaidi ya hayo tuliyoelezwa

Labda hajawa na confidence ya kumegwa si unaju kuna wengine huwa wanafleti kama soda za koka kola, mimi nafikri akistua valuu atakuwa yuko fit
 
Shemeji nimekuelewa ila ndio ampe siku hiyo hiyo jamani lol

Asante shemeji kwa kulitambua hilo, sasa mbona itakuwa sio siku ya kwanza..watu wamedate kwa mizei 6 maty stuka....ohooo
 
Shemeji nimekuelewa ila ndio ampe siku hiyo hiyo jamani lol

Kwanini umnyime siku ya kwanza? Unakuwa hujajiandaa kwa lipi? mwenzio anakuwa na njaa kwanini umbanie? wewe tukikwambia ule kesho wkt unanjaa utakubali?
 
Ndo maana huyo dada hapaswi kwenda kwake,wakutane sehemu nyingine will be more safe for her.

at the end of the day, he will lay her down on the SAME day believe me..she either quit, or GO....simple LOL
 
Ndo maana huyo dada hapaswi kwenda kwake,wakutane sehemu nyingine will be more safe for her.

Mwanamke ana reason to have sex na pia huyo mwanaume tayari ana place naona bora tuwaache biolojia zao zikafanye exchange programme
 
Shemeji nimekuelewa ila ndio ampe siku hiyo hiyo jamani lol

Kwani nani kasema ampe? Why can't she exepect only to have fun? Yaani hiyo presssure ya kumpa au kutompa inatoka wapi? Na nani kawambia kuwa huyo kijana wa watu na usongo sana na dudu? Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah!

Hebu nambie kwanza kabla sijapata hasira...
 
Mwanamke ana reason to have sex na pia huyo mwanaume tayari ana place naona bora tuwaache biolojia zao zikafanye exchange programme

Hawa naona wanateka kucheza na nguvu ya chemistry...Kwa nini wasiiache ikajijenga yenyewe?
 
at the end of the day, he will lay her down on the SAME day believe me..she either quit, or GO....simple LOL

Mpwa hiyo statement umenikumbuka jamaa mmoja kwenye movie alikuwa anamwambia demu "the day i will lay you down you will forget that your were born by your parents" siku ya siku jamaa akamlia demu dawa, siku demu amekuja ghetto kumegwa kwani asitoke nduki demu alikuwa anamlalamikia jamaa "you wanna kill me"
 
Hawa naona wanateka kucheza na nguvu ya chemistry...Kwa nini wasiiache ikajijenga yenyewe?

Mkuu DC kwa uzoefu wangu tangu hii sredi imeanza hiyo nguvu TAYARI ipo....kinachomsumbua ni HOFU tu basi na ile asijeonekana ako CHEAP>>>:A S thumbs_up:
 
Sijui kwa nini nyie watu siku ya kwanza huwa mnakuwa na tatizo la kubana.
Fidel
siyo tu siku ya kwanza labda sikuiweka vizuri,lkn ninachozungumzia hapo ni muda,,,


Umeona huyo juu siku ya kwanza kwake hapana.

Siyo siku ya kwanza tuu, ntakuchapa Fidel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…