Wana JF msaada jamani katika mauzoefu yenu mmeshakutana na hii?

Wana JF msaada jamani katika mauzoefu yenu mmeshakutana na hii?

Mbona bado ana muda wa kujiandaa kuanzia leo na kesho maana anaenda kumuona jamaa jumamosi

Mi nilicho jifunza hapo mwanamke ukiomba kumega siku ya kwanza na ukamega anahisi kuwa wewe utafikiri yeye kicheche kwa hiyo lazima akuzungushe zungushe kama pia
 
Siyo siku ya kwanza tuu, ntakuchapa Fidel

Hahahaha samahani shangazi kwa hiyo sitaki nataka ka mwezi hivi usiombee ukutane na mijitu yenye hasira maana linaweza kujiexpress kabisa maana linakuwa na ukakasi mwingi sana
 
He he he!guest tena!anyway,kama ataona yuko safe na comfortable aende hata huko guest,lakini simshauri

Kwa hiyo ushauri wako waende porini wakamegeane maana chumbani sio safe tena Guest sio safe
 
Mi nilicho jifunza hapo mwanamke ukiomba kumega siku ya kwanza na ukamega anahisi kuwa wewe utafikiri yeye kicheche kwa hiyo lazima akuzungushe zungushe kama pia

Na kwanini wewe uombe first meet?labda kama mlikuwa mmedate muda mrefu though GOD FORBID:A S 103::A S 103:
 
Na kwanini wewe uombe first meet?labda kama mlikuwa mmedate muda mrefu though GOD FORBID:A S 103::A S 103:

Mimi nikitongoza na nikakubaliwa kinacho fuata maombi ya kumega tena siku hiyo hiyo sicheleweshi je nikifa kesho yake? utanililiaje? lazima kieleweke siku hiyo hiyo
 
Wanatetea hoja sijui siku hiyo bailojia inakuwa haijakamuliwa Mdimu?

Kwani me c nimeskia ndimu unakamulia labda ukiwa kwenye nyota zako? sa kwan hata kawaida unaweza kamulia ili njaribu na mie siku moja ila haina madhara kweli fidel
 
Mimi nikitongoza na nikakubaliwa kinacho fuata maombi ya kumega tena siku hiyo hiyo sicheleweshi je nikifa kesho yake? utanililiaje? lazima kieleweke siku hiyo hiyo

Kwi kwi kwi watu mna vituko humu JF lol, halafu ndio ulikuwa unamfeel mara afwa
 
Kwani me c nimeskia ndimu unakamulia labda ukiwa kwenye nyota zako? sa kwan hata kawaida unaweza kamulia ili njaribu na mie siku moja ila haina madhara kweli fidel

Hii hapa unakamulia kwa yule mpenzi ambae unamzungusha au unamchelewesha kukumega akisema leo wewe unasema mwezi ujao sasa siku ndo unakubali kwenda kumegwa unakamulia Ndimu ili kitu kiwe mnato jamaa akizama asione kitu ka used saaaaaaaaana yaani unakuwa ka bikra vinginevyo jamaa baada ya gemu anaweza sema humu hamna kitu yaani kitu yaani miezi yote unanizungusha kumbe vitu hamna kabisa humu na akakutosa jumla hakutafuti tena utaishia kumuota tu katika njozi.
 
Mimi nikitongoza na nikakubaliwa kinacho fuata maombi ya kumega tena siku hiyo hiyo sicheleweshi je nikifa kesho yake? utanililiaje? lazima kieleweke siku hiyo hiyo
Kuna wimbo wa zamani unazungumzia hii picha........... Sijui uliimbwaga na kina Less Wanyika?.....Lol
 
Hii hapa unakamulia kwa yule mpenzi ambae unamzungusha au unamchelewesha kukumega akisema leo wewe unasema mwezi ujao sasa siku ndo unakubali kwenda kumegwa unakamulia Ndimu ili kitu kiwe mnato jamaa akizama asione kitu ka used saaaaaaaaana yaani unakuwa ka bikra vinginevyo jamaa baada ya gemu anaweza sema humu hamna kitu yaani kitu yaani miezi yote unanizungusha kumbe vitu hamna kabisa humu na akakutosa jumla hakutafuti tena utaishia kumuota tu katika njozi.

Fidel kwani we ni she? unajuaje kama inakuwa mnato hata hivyo nimeondoka na kipya kingine ntaenda jaribu nione kama hubby ataona tifauti
 
Kwa hiyo ushauri wako waende porini wakamegeane maana chumbani sio safe tena Guest sio safe

Sishauri wakamegane,ninachoshauri wakutane mahali penye privacy nzuri lkn ambayo inawajumuisha na watu wengine lkn siyo home neither guest. Ila kama anajiamini kuwa anaweza kuwa na msimamo akaresist vishawishi anaweza enda hata home.
 
Back
Top Bottom