...hata kama anampenda hayuko tayari kumegana nae halafu yaishe...
Chauro,
Hivi kumegwa au kumegana/kumegeana ni kuvunja sheria?
hayo ni makubaliano ya watu wawili tena walio na umri unaokubalika kisheria lakini kwa maelezo ya mmdada ni kama anataka mume halafu hapo hapo hataki kuachia kidudu chake lakini jumamosi kaweka mazingira hatarishi ya kumegwa na vigezo vyake vya kupenda ni vya kutamani na ni kama hajui tabia za mkaka kiumbe wa hivi utamweka kwenye kundi gani zaidi yala majuto ni mjukuu
hahahahaaaaaaaaaaa... huyo mcharuko aisee, ni kibwengo tu, yeye akiona ndefu nyeuoe anachachawa, lakini eti bado anakonsalt..mnh, kuna watu wamedata kweli mjini :biggrin1:
Huyu huyu mdada anayewazimia "mahandsome boy weupe 'hatataka yaishie hivi hivi' kwa huyu mbantu?"
yaani ulikua hujui?? huoni kwamba kuna kama multiple organz and packages involved
Yaani wewe siku hizi umechakachuliwa akili yaani kila unachopost hapa kina harufu ya rushwa ya kichumbanichumbani ! Lol
Madhara ya kuwa karibu na Asprin and the team....
Acid hakuwa hivi kabisaaa...I used to admire him!:becky:
Madhara ya kuwa karibu na Asprin and the team....
Acid hakuwa hivi kabisaaa...I used to admire him!:becky:
Mkuu DC kwa uzoefu wangu tangu hii sredi imeanza hiyo nguvu TAYARI ipo....kinachomsumbua ni HOFU tu basi na ile asijeonekana ako CHEAP>>>:A S thumbs_up:
dude... Thanks for admiration... unfortunately ndio nshakua hivyo, niombee tu mamaMadhara ya kuwa karibu na Asprin and the team....
Acid hakuwa hivi kabisaaa...I used to admire him!:becky:
Madhara ya kuwa karibu na Asprin and the team....
Acid hakuwa hivi kabisaaa...I used to admire him!:becky:
Eti MATY....
Huyo dada bado tu hajamalizana na mshkaji?? kama bado mwambie aachane nae... spontaneity is key to romantic life!!! once delays... na ma-consultations, ujue naturality imekufa and there will be no excitement
Hivi huu utaratibu wa kusindikiza kama shield ya kukinga binti asifanye ngono bado upo?
Miaka yetu ile 1947 tulikuwa tunawasindikiza daa zetu bila hata kujua kinachoendelea tunaambulia kupewa peremende na mpira wa mablanket halafu wao wanaendelea!!
Kama bado unatumika basi hii dunia itakuwa inakwenda kinyume nyume!