Wana JF msaada jamani katika mauzoefu yenu mmeshakutana na hii?

...hata kama anampenda hayuko tayari kumegana nae halafu yaishe...

..mnh, kuna watu wamedata kweli mjini :biggrin1:
Huyu huyu mdada anayewazimia "mahandsome boy weupe 'hatataka yaishie hivi hivi' kwa huyu mbantu?"
 
Chauro,

Hivi kumegwa au kumegana/kumegeana ni kuvunja sheria?


hayo ni makubaliano ya watu wawili tena walio na umri unaokubalika kisheria lakini kwa maelezo ya mmdada ni kama anataka mume halafu hapo hapo hataki kuachia kidudu chake lakini jumamosi kaweka mazingira hatarishi ya kumegwa na vigezo vyake vya kupenda ni vya kutamani na ni kama hajui tabia za mkaka kiumbe wa hivi utamweka kwenye kundi gani zaidi yala majuto ni mjukuu
 

Hivi huyo dada anaonekana namna hiyo eti heeeee!! Kwamba dada hana guts za kusema hapa natoa au sitoi kidudu changu?

Kama yuko hivyo basi hata asipoenda kwa kijana atamegewa kwenye maeneo mengine tu. Mbaya zaidi inaweza kuwa kwenye mapagala au uchakani!! Chaguo analo yeye!
 
..mnh, kuna watu wamedata kweli mjini :biggrin1:
Huyu huyu mdada anayewazimia "mahandsome boy weupe 'hatataka yaishie hivi hivi' kwa huyu mbantu?"
hahahahaaaaaaaaaaa... huyo mcharuko aisee, ni kibwengo tu, yeye akiona ndefu nyeuoe anachachawa, lakini eti bado anakonsalt

kweli kichaa kina sura kadhaa, ila tumombeer mleta mada
 
yaani ulikua hujui?? huoni kwamba kuna kama multiple organz and packages involved

Yaani wewe siku hizi umechakachuliwa akili yaani kila unachopost hapa kina harufu ya rushwa ya kichumbanichumbani ! Lol

Madhara ya kuwa karibu na Asprin and the team....
Acid hakuwa hivi kabisaaa...I used to admire him!:becky:
 
ooooohoo
Pure & simple, ugali na mboga tayari kilichobaki ni kulaaaaaa saaaaaaana tu, why wasting time, anampenda na jamaa anampenda period.... push pull, puush puull, puuuushhhhhhhh puuuulllll, but condom muhimu, then utajua kama gari linatembea kwa speed nzuri, maana njee ni kigezo kimoja tu that is 50%, halafu engine ikiwa inakamata moto na gear sawa, kila kona inakata, huyu dada amwonyeshe utaalamu akitaka kuolewa, u know what i mean blow job must ie warm up, then gari gear 1, 2 3... au she should go auto, i hope umenielewa ur matured siongei na kid. Good day
 
Duh! Nimekatiza nisikokuwa na taaluma yake lakini michango ya wajuzi imenigandisha vilivyo. Heshima kwenu nyote ingawa nimemfurahia sana DC kwa kuwa mhalisi. Kwenye masuala ya kibiashara inasemwa ukitaka manufaa makubwa basi uwe tayari kwa mhanga mkubwa pia (the higher the risk the higher the rewards). Hili pia linahusika katika masuala ya mapenzi ingawa kwa bahati mbaya hesabu za "uwezekano" hapo ni ngumu zaidi. Lakini, ushauri wa dhati kwa wanawake ni kuwa roho inapopenda kitu basi ni muhimu kujituma zaidi badala ya kuminya na kuugulia kimyakimya tu. Si lazima mwanaume akimega basi adharau; wako wengi wanaopenda kumiliki jumla jumla kilicho bora zaidi! :biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
Mkuu DC kwa uzoefu wangu tangu hii sredi imeanza hiyo nguvu TAYARI ipo....kinachomsumbua ni HOFU tu basi na ile asijeonekana ako CHEAP>>>:A S thumbs_up:

mtu kuwa cheap ndo anakuwaje, mim ningekuwa huyo dada eti namfeel mkaka na yeye kajileta anga zangu, walai mazingira yakiruhusu tunamegana 2, mambo sijui ya true love kama yapo yatatukuta mbele ya safari huko, cha muhimu kwanza ni kujali hisia zangu
 
Bi mkubwa anapomtamani huyu kaka huwa atamanani nini haswa, pamba za mshikaji au gari lake? Kama ni biologia yake basi ananishangaza anavyoogopa kuombwa game
 
@maty kwa nini shost yako anahisi akienda huko ataombwa wamegane? Na hata kama akiombwa haki ya kukataa anayo au huyu mwenzetu yupo vipi yaani mwanaume akiomba 2 lazima ampe? Lol nashindwa kumuelewa kabisa
 
Royal to the game-2pac Kumegwa na kutoswa ni matokeo tu
 
Madhara ya kuwa karibu na Asprin and the team....
Acid hakuwa hivi kabisaaa...I used to admire him!:becky:
dude... Thanks for admiration... unfortunately ndio nshakua hivyo, niombee tu mama
 
Madhara ya kuwa karibu na Asprin and the team....
Acid hakuwa hivi kabisaaa...I used to admire him!:becky:

Tukisoma between the lines, anywayz hiyo admiration there's a lot to say about
 
Eti MATY....

Huyo dada bado tu hajamalizana na mshkaji?? kama bado mwambie aachane nae... spontaneity is key to romantic life!!! once delays... na ma-consultations, ujue naturality imekufa and there will be no excitement
 
Eti MATY....

Huyo dada bado tu hajamalizana na mshkaji?? kama bado mwambie aachane nae... spontaneity is key to romantic life!!! once delays... na ma-consultations, ujue naturality imekufa and there will be no excitement

Itakuwa too late kwa yeye kuja ku realize hicho kitu
 

Morning DC naona unaendelea kukandamiza mavituuuuuuuuuz yaani wanfurahisha kweli kweli, mdada nimezungumza nae ila kiukweli anaonyesha anampenda sana huyo kaka yaani ni ile toka moyoni kama ulivyosema DC kwamba hata wakikutana porini naona huyo dada atatoa tu na kama alivyosema wiselady kwa jinsi alivyompenda lolote litakalotokea hataregret
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…