Wana JF msaada jamani katika mauzoefu yenu mmeshakutana na hii?

eti eeee sasa dada mwenyewe alisema hataki kabisa kutoa mbunye nikimwambia si ataniona mwanga

Kwani hata ungeendelea kumwabia asitoe unaamini vipi kwamba angekukubalia na kweli asitoe akishafika kwa huyo hani wake?
 

Babu naona umeamua leo kutoa ukweli lol JF pazuri bana
 
nin baba?asi cha usiku chakula jaman?
mara nyng inakuwa wali maharage,ndiz au chapat chai au we uliichukuliaje?labda?

Unajua kuwa wengine tunaona na kufikiri kwa kutumia magnifying lens? Jitahidi basi walau muda wa kufunga ofisi ufike kabla hatajakwazika!
 
Maty ningependa nimuone huyo dada nimpe ushauri physically
 

na kuna ubaya gani maty kama wakimegana? kwani yeye hana hamu? siku zote alikuwa anamtamani kama kaka yake ama? sielewi!
 
Babu naona umeamua leo kutoa ukweli lol JF pazuri bana

Unajua inauma unapoona watoto wanasumbuliwa na vitu simple simple kabisa...Yaani rahisi kuliko algebra za darasa la 2!

Kwani huyo rafiki yako anaumwa kwenye anatomia (anatomy) yake? Au ana matatizo ya kisaikolojia kwamba akishafika tu basi anakuwa kama kalishwa dawa ya kumfanya akubalie kila kitu?

Kama yuko hivyo basi mshauri ajiunge na utawa. Vinginevyo kila akitongozwa yeye ataanza kutoa pants na hatakuwa salama huyo...Jemba zita-take advantage hata kuhamia kwenye upuuzi wao wa Tigo. Kwani anaonekana siyo strong. Zaidi ya hapa tumsaidieje?
 
Maty ningependa nimuone huyo dada nimpe ushauri physically

Nadhani wewe utamsaidia aache woga...

Imenikumbusha movie moja ya dada aliyekuwa anaogoma one-eyed snake hadi kutema ndoa kibao!!
 
na kuna ubaya gani maty kama wakimegana? kwani yeye hana hamu? siku zote alikuwa anamtamani kama kaka yake ama? sielewi!

Hivi ulikuwa wapi?

Naona nimesema weee....lakini hawa watoto hata hawaelewi. Wanadhani kumegwa ni adhabu, na mwingine kasema ni msiba...LOL
 

Ntamwambia DC maana we ulikuwa unapinga sana ifi lakini katika hili umehalalisha nimekupata sana
 
Ntamwambia DC maana we ulikuwa unapinga sana ifi lakini katika hili umehalalisha nimekupata sana

Please Maty...naomba sana usianzishe ugomvi...

Mimi nimesema huyo dada aache kuwa defensive. Achukue time amfahamu BF wake mpya. Ikibidi kupata chakula cha bwana siyo vibaya. Hiyo hata ukienda kwa Karndali....atakuhakikishia kuwa iko kwenye maandika mapya au wewe umeelewaje?
 
Hivi ulikuwa wapi?

Naona nimesema weee....lakini hawa watoto hata hawaelewi. Wanadhani kumegwa ni adhabu, na mwingine kasema ni msiba...LOL

mkuu Rit. Gen,

Nilibanwa mbavu sehemu, kuibuka ndo nakutana na hii kitu, and am like mbona uzito umewekwa sana kwenye kumegwa as if wao ndo wa kwanza huku Duniani kumegana? lakini naona mkuu umeshawapa darsa kama kawaida
 
eti eeee sasa dada mwenyewe alisema hataki kabisa kutoa mbunye nikimwambia si ataniona mwanga

hivi ushoga gani huo wa male&female unaoendelea bila mdada kutoa hiyo mbunye?huyo dada anachotafuta sasa ni nini, au anataka kucheza egoli tu????
 
m here beb maty
dark cty sema kaka
nilikuwa meeting...pole kwa kunikosa jaman
mchana ushapta sa itakuwaje?
labda nkupe cha dina dina?
ennhh???? sema bas maty km vp ntakupa cha usiku dina uipate kwa unono!!!!!

Nakisubiri kwa hamu rose karibuuuu mi ntaacha milango yote wazi wa nyuma na wa mbele ili usipate shida ya kugonga mwaya
 

...ningeporomosha bonge la dongo, bahati yako umeomba suluhu mwishoni.
 
mkuu Rit. Gen,

Nilibanwa mbavu sehemu, kuibuka ndo nakutana na hii kitu, and am like mbona uzito umewekwa sana kwenye kumegwa as if wao ndo wa kwanza huku Duniani kumegana? lakini naona mkuu umeshawapa darsa kama kawaida

Lakini si umeona kuwa Maty hataki kuelewa eeee? Atamfanya mwenzake apate fever na kutetemeka kabla hata hajaambiwa kitu kama hicho. Kitu hicho kinaweza kumharibia kabisa. Inaonesha hapo comfo ni ziro kabisa...Ni dalili mbaya sana hizo.
 
Nadhani wewe utamsaidia aache woga...

Imenikumbusha movie moja ya dada aliyekuwa anaogoma one-eyed snake hadi kutema ndoa kibao!!

Msemo wa Acid sampuli hiyo ndio huwa wanamegwa kila siku wakitegemea jamaa ataweka kambi kumbe jamaa akiishamaliza mashambulizi anahamia kambi nyingine
 

Point Noted DC!!!!
 
Nakisubiri kwa hamu rose karibuuuu mi ntaacha milango yote wazi wa nyuma na wa mbele ili usipate shida ya kugonga mwaya

Hapo ni matatizo yangu pekee au ndo nimeshaanza kusahau lugha ya Nyerere????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…