Wana JF narudia tena, haribu kabisa tiketi au karatasi yenye taarifa zako kamili

Utetezi huu haujakaa vizuri, ni karatasi ngapi zinatupwa eneo la kituo cha Magufuli! Iweje polisi waiokote hiyo tikiti moja na kuziacha tikiti na karatasi zingine! Kwa kifupi ututezi wako una kasoro kubwa sana zenye maswali mengi sana yasiyo na majibu.
Namimi narudia kusema, kuwa mkweli kwenye hili sakata la kujitetea, hawa polisi wanaotambaa kuokota na kuvisoma vikaratasi vya mjini wametokea wapi! Huyo alipokurupushwa ndipo alipodondosha hizo karatasi.
 
Hoja yako ina mashiko ila kwa police wa tz mzee wakitaka kulala na wewe bila uchunguzi wowote wanaishi na ww chap.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…