Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Afande Fatu, Fatuma, Fetty ๐๐๐Ndio maana una asili ya kaubabe flan hv๐๐,,mtu akinizingua tu ni kwa afande tatu wa mikoroshini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afande Fatu, Fatuma, Fetty ๐๐๐Ndio maana una asili ya kaubabe flan hv๐๐,,mtu akinizingua tu ni kwa afande tatu wa mikoroshini
Wakikutana na wewe katika anga zako ndio watajua ni fatuma au fetty wa mikoroshini๐๐Afande Fatu, Fatuma, Fetty ๐๐๐
Dah amezingua mshikajiIt was counselling session.... No vibao no kufokewa nilisikitika tu kijamaa kimebaka katoto ka miaka 3 ila no penetration naona kilijisugua sugua kikamwaga
Sana, nkamuuliza ina maana hauna demu? Hata kupiga punyeto haujuiDah amezingua mshikaji
Mi sio afande bana ๐นWakikutana na wewe katika anga zako ndio watajua ni fatuma au fetty wa mikoroshini๐๐
Jinga kweli kabisa sema uliliuhurumia Sana ,Mimi uwa napiga viboko na vibao vya kutoshaSana, nkamuuliza ina maana hauna demu? Hata kupiga punyeto haujui
Nilishuhudia hi kwenye ile kesi ya yule billionaire wa Arusha(jina limenitoka;aliuliwa alipokwenda kuonana na wauza madini).Unafikiri wale wapelelezi ni wajinga hawakwenda shule? Ukiwa na kesi inayohitaji upelelezi utajua kuwa wanajua wanachofanya.
Polisi wana vitengo,kuna vitengo tofauti.
Si ndio maana wanaendelea na uchunguzi. Kwani vitu vyote hivyo wanaweza kuvipata siku moja kama unasema watatakiwa pia kuwasiliana na makampuni ya simu, wenye bus husika pia maswala ya DNA kama yanahitajika. Tuwaacha waendelee na upelelezi kwanza. Pia hatuwezi kumsemea sana huyo jamaa anaweza akawa alihusika pia tena kama inasemekana ni mtu mkimya sana na msiri sana, wengi wao huwa ni hatari sana.Ninaelewa kwamba kila kinachokutwa kwenye crime scene kinaweza tumika kuanzisha mchakato wa upepelezi...
Sasa kwenye tukio la uvamizi na ujambazi kama ilivyoelezwa na mleta mada, kitu pekee kinachomuunganisha jamaa na huo uhalifuni ni uwepo tu wa karatasi "inayodhaniwa" kuwa ni tiketi ya basi...
Polisi walipaswa wajue kwanza uhalali wa hiyo tiketi,
1. Je ni halisi au imenakiliwa?
2. Huyu mtu alisafiri, je huko alipokwenda si alikutana na watu, hao watu wanaweza kuthibitisha uwepo wake huko?
3. Kwenye database za makampuni ya telecom, simu huwa zinaacha kumbukumbu ikiwemo periodic locations wakati inapohama mahali hadi mahali, polisi wangeweza kutumia hili pia...
Polisi inapokamata mtu inabaswa iwe na ushahidi wa kutosha usio na shaka, hatua ya ukamataji iwe ni ya mwisho.
Sasa Bongo unapata mtu anakamatwa, halafu unaambiwa upelelezi unaendelea ili mradi tu wamtie mtu lupango wamtese kulazimisha akiri makosa...
mkuu hizi njia zako mbona haziaminiki sana kwenye kukunasua na msala.kwani hiyo kuwasha Smart tv,laptop au simu unaweza usiwe karibu navyo yaani unaweza kuwasha simu au trakick device yoyote alafu unaiacha geto kwako mfano unaishi mbagala au bagamoyo kisha unaenda kupiga tukio huko mbezi.mpaka hapo ushapiga chenga hii ya kuangalia simu yako ilisoma wapi wakati wa tukio kwa wapelezi smart haiwezi kuwa na nguvu sana japo inafaa..kwa ishu ya jamaa kwa maelezo ya mtoa mada hiyo risiti yake ya basi ya EFD baada ya wezi kuvunja duka na kuiba vitu kisha hiyo risiti ya basi ya EFD wakaweka juu ya meza wakasepa zao ..hapo finger print inaweza saidia kujua nani alishika ticket mara ya mwisho.Kuna kitu kinaitwa alibi. Na sio mara zote kisapotiwe na rafiki zako, siku hizi kuna smartphone ambayo inaweza kutumika kujua ulikuwa wapi na wakati gani.
Najua kwasababu sio kada atapata shida, lakini ni jambo dogo sana hilo, kama una alibi mzuri na kuna namna ya kuisupport either physically au digitallly unakwepa hizi mambo.
Mfano alienda nyumbani myda wa tukio alikuwa amewasha smartphone, laptop au smartTV hivi vitu vnaweza kukubebaba. Au bodaboda, mangi,jirani pia wanaweza kuhusika kukubeba hapa.
Mwamba arudi mtaani, mafisadi waingie ndani.
Zinafanya kazi inategemea kwa angle gani umetazama.Screen time, authentication, interaction zako kwenye apps zinafanya kazi nimeona kesi kibao watu wa digital forensic wakitumia.mkuu hizi njia zako mbona haziaminiki sana kwenye kukunasua na msala.kwani hiyo kuwasha Smart tv,laptop au simu unaweza usiwe karibu navyo yaani unaweza kuwasha simu au trakick device yoyote alafu unaiacha geto kwako mfano unaishi mbagala au bagamoyo kisha unaenda kupiga tukio huko mbezi.mpaka hapo ushapiga chenga hii ya kuangalia simu yako ilisoma wapi wakati wa tukio kwa wapelezi smart haiwezi kuwa na nguvu sana japo inafaa..kwa ishu ya jamaa kwa maelezo ya mtoa mada hiyo risiti yake ya basi ya EFD baada ya wezi kuvunja duka na kuiba vitu kisha hiyo risiti ya basi ya EFD wakaweka juu ya meza wakasepa zao ..hapo finger print inaweza saidia kujua nani alishika ticket mara ya mwisho.
Umenifurahisha, unawaza kwamba hawa jamaa wanapeleleza kiutalaam kama kule majuu?mkuu hizi njia zako mbona haziaminiki sana kwenye kukunasua na msala.kwani hiyo kuwasha Smart tv,laptop au simu unaweza usiwe karibu navyo yaani unaweza kuwasha simu au trakick device yoyote alafu unaiacha geto kwako mfano unaishi mbagala au bagamoyo kisha unaenda kupiga tukio huko mbezi.mpaka hapo ushapiga chenga hii ya kuangalia simu yako ilisoma wapi wakati wa tukio kwa wapelezi smart haiwezi kuwa na nguvu sana japo inafaa..kwa ishu ya jamaa kwa maelezo ya mtoa mada hiyo risiti yake ya basi ya EFD baada ya wezi kuvunja duka na kuiba vitu kisha hiyo risiti ya basi ya EFD wakaweka juu ya meza wakasepa zao ..hapo finger print inaweza saidia kujua nani alishika ticket mara ya mwisho.
Sahihi kbsaHuu ushauri ni mzuri lakini inategemea na mazingira unachana tiketi ukiwa umekamilisha mambo yako yote , mfano imetokea nimekamatwa usikia na ndo nimetoka safari nikionyrsha ticket itakuwa ni isalama wangu, usichane tiketi kabla ya kufika sehemu kisudiwa na kumaliza mambo yako kisha geuka
Hili ni tangazo lilitolewa kabisa ukiitumia chana, natumia vocha mara chache sana, jamaa walifanya uhalifu/mauaji wakaacha vocha kwenye tukio, kilichomkuta mtumiaji wa ile vocha anakijua mwenyewe, kuanzia hapo nikutumia nachana vipande hata 20 maana vinne vitano wataungaunishaHata vocha ya karatasi , chana vipande vipande tupa.
Kwa polisi wetu wa Tanzania Mtu wa Mwisho kuwasiliana au kuonana na marehemu ndo mtuumiwa mkuu hakuna cha upelelezi ni kubashiri tuNi kwamba police hawana akili; sio issue ya kuchana na kutupa! Maisha yamejawa na Mazingira ambayo yanaweza kumuingiza mtu kwenye shida nyingi, ni busara za hao Police zinatakiwa!
Imagine umekutana na Mdada kwenye Bus, mrembo, ukamtongoza, ukaomba namba ya simu, ukamtext jioni hiyo fresh mkachat usiku.
Usiku huo huo akauwawa, unajua kwa akili za Police wa Tanzania unaweza kukaa magereza miaka 3 kama mtuhumiwa wa mauaji? Lakini sio USA, kum arrest mtu sio jambo rahisi!
Huu ni uzembe na uvivu wa wapelelezi na polisi, Ni simple tu kabla ya kukamata mtu waangalie vocha ilijazwa mda gani na tarehe ngapi, walinganishe na mda wa tukio la uhalifu, na siyo kukurupuka kukamata mtu kwakua tu umekuta vocha kwenye eneo la tukioPole yake sana.
Hayo maujinga yanatumiwa sana na wahalifu, lengo likiwa ni kuchelewesha ufuatiliaji wa Polisi.
Mkuu siyo tiketi na document zingine muhimu tu, hata hizi vocha za kukwangua ni mbaya sana kutupa tupa ovyo.
Ikiokotwa na hao jamaa kisha kutupwa kwenye tukio, wakifuatilia vocha ilijazwa kwenye simu gani, utakwenda na maji.
Kuja kujulikana hauhusiki, pamepitwa!