Uchaguzi 2020 Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!

NILICHOKIONA UCHAGUZI HUU NDANI YA CCM YEYOTE ANAYEJINASIBISHA KAMA MTU WA “mfalme” WENYE CHAMA CHAO WAMEPIGA MKASI ; Mfano

Wapinzani waliounga mkono juhudi
Mwandishi anayeongoza propaganda za kumtetea mfalme - MUSIBA
Kijana mwingine anayeendesha magazeti ya kutukana watu kapigwa huko Kibaha
Mchungaji Gwajima ambaye ni Kiongozi wa kikundi Cha kikabila ( interehamwe) kinachojifanya nj Cha kumlinda mfalme “ sic

Alafu angalia watu ambao Inaonekana amewaondoa kama Gambo na Ndugulile walivyobebwa

Inakulikana wazi pia Gambo ni mfuasi mzuri wa Membe toka 2015 aliyejitahidi kuvaaa ngozi

Ccm wameonyesha uasi kwa mwenyekiti wao
 
Usije kusema ulidhulumiwa kama Rungwe kwa kuhesabu idadi ya pole na kuzi convert kuwa kura.
 
Bwashehe nakuamini kabisa.kwa sababu Uzi wako ulikuja hapa kabla paskali hajapagawa na kuja kuanzisha ui liju kapata 0
 
Kaka Mimi nakupa hongera kwa uthubutu, hata mbuyu ulianza kama mchicha
 
Ndiyo ujue kuwa ulitakiwa kushukuru tu kwa kurudishiwa press card yako tu, hayo mengine uwaachie kina Katambi
 
Hatimaye CV yako imefika TISS na Ikulu kwa malipo ya laki 1 tu, hongera sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pascal hakusoma alama za nyakati tangu day one alipo ambiwa kuwa Mayalla ni njaa kwa kisukuma
Pascal Mayalla,

Mwana mkaidi hapewi pole.

Karibu tuendeleze mijadala yenye afya hapa JF. Tactic yako ya kujipendekeza kwa kumsifia Jiwe na kujipendekeza CCM is not working. Go back to the young YOU; Achana na kusifia sifia na kuabudu.
 

Khaaa ndo maana watu hawamfahamu..nimeudhika ghafla
K
 
Unakubalije matokeo kwa Kusema CCM Ina wenyewe hicho ni kinyongo we kubali kwa moyo mmoja kuwa wenzako wameona hutoshi.
Umeisifia Sana CCM iweje Leo uipige vijembe hayo ndo matokeo ya demokrasia.
UMEIPENDA MWENYEWE
 
 
Mkuu, kila kitu kina sayansi yake inayoongoza. Usikate tamaa, ushubutu ni Jambo jema zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…