Wana JF tuliopo TipTop muda huu tuonane

kinyamkela mahaba

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2022
Posts
1,178
Reaction score
1,596
Za muda huu folks

Nipo hapa TipTop kupata japo bia mbili tatu na weekend hii, sio mbaya wadau walio karibu na hapa tukionana. Hata walio ndani sio mbaya.

Lengo ni kufurahi na kupeana mawazo ya biashara, na ya maisha kwa ujumla wake. Binafsi nimefurahi na nipo na mtoto wa hapo UDSM ameniambia anasomea udaktari.

Nimemuopoa hapa hapa mida ya saa 1 jioni nilipokuja. Muonekano wangu nimevaa suruali ya 'truck', viatu vya 'Air Jordans', mzula wa kijivu na koti la suti jeusi. Nimewaka kiasi chake (napenda kupendeza).

Karibuni wadau tubadilishane mawazo.

Nawasalimu!
 
Umepigwa na kitu kizito kichwani, udsm hakuna hiyo fani ya udaktari!
ni kweli amepigwa ila hiyo fani UDSM ipo, ingawa hawasomei Dar na wala hawafanyii mafunzo yao Dar, wanasomea campus ya Mbeya na wanajifunzia katika hospitali ya rufaa ya MZRH (Mbeya Zonal Referral Hospital) hiyo campus yao ipo chini ya UDSM.

All in all, ukifuatilia kwa umakini nyuzi za mtoa mada utagundua jamaa ni attention seeker tu au ni mtu ambae yuko frustrated sana and his only way to overcome stresses zake za maisha ni kuja kuanzisha nyuzi za mizaha mizaha JF. Sie tunaomfaham tumeshamzoea na tunamchukulia poa tu. Ana ID yake nyingine humu anajiita Jana Ulirudi Usiku
 
Duh! Usilojua ni usiku wa giza. But anyway! Kuna kitu inaonekana nilikuchana kimekuuma. Sasa jana ulirudi asubuhi na mm ni wapi na wapi? Huyo ni jamaa yangu humu JF na nafuatilia mno quotes zake.
 
Chini kidogo kuna Lampard Hotel, maamae kuna bodaboda hapo walipita na simu yangu.

Anyway, kuwa makini na hao wanawake, wengi wao ni wezi na malaya.
 
Hapo ni wauza maua wa tandare , uwanja wa fisi, shidele, rombo hotel nk
 
Sasa attention seekers wanafaidikaje na hizi anonymous accounts?

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Ni fantasies tu.. Hakuna faida yoyote ila mtu anakua na ile furaha ndani yake kutokana na kufatiliwa mno kupitia threads za vituko anazoweka hata kama atakua na anonymous ID.. It's a personality thing! Kuna bwana mmoja alishawekaga humu uzi unaozungumzia personality mbali mbali nadhani nikiuona ntauibua kwa faida ya wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…