Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Aaah picha hizi hizi za camera 360? Si utaniona byutful byutful kidogo my kaka afu ndo uje unione live sasa weeee. Ntashangaa tu " the number you are calling Is not reachable"; ntaliaje[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Habari unayo
Umbea tu pyeeee
Hapo kaona tu gubichwa na gushepu kwa nyuma, hajaona "infront" sasa mmmh. Unashangaa my kaka ananiweka ignore lift hadi jf heheheUnashangaa mtu kakata kona ya hatari, nusura aparamie viti!! kama alikuja na gari analirudia kesho!!
Unadhani kwenye umbea anakujaga basi, yupo busy na hip hop zakeHahahaaaa! Huo sio umbea nilikuwa tu namsalimia my shemeji Paulo Sergio De Souz, alafu kapotelea wapi huyu mtu?
Hapo kaona tu gubichwa na gushepu kwa nyuma, hajaona "infront" sasa mmmh. Unashangaa my kaka ananiweka ignore lift hadi jf hehehe
Unadhani kwenye umbea anakujaga basi, yupo busy na hip hop zake
Hamna jipya, nashangaa umemuita paulo. kwani yeye hawajui kaka zangu?[emoji18] [emoji18]Kwani kunani? Jamani mie nauliza tu hataa sitaki kujua ujue!!🙄
Hamna jipya, nashangaa umemuita paulo. kwani yeye hawajui kaka zangu?[emoji18] [emoji18]
Kwa hiyo ulijua mito ni mjomba angu au?Teh teh teh! Kumbe na wewe una kaka! Didnt knew!
Kwa hiyo ulijua mito ni mjomba angu au?
Exactly mjukuu wa remmyBinamu yako kwa upande wa babu yake na bibi mzaa babu yake bibi yako.
Aaah picha hizi hizi za camera 360? Si utaniona byutful byutful kidogo my kaka afu ndo uje unione live sasa weeee. Ntashangaa tu " the number you are calling Is not reachable"; ntaliaje[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Mmh sina uhakika kama ntakutumia, ila ikitokea nimetuma basi ntatuma tu ya kuedit, maana Najua tu nikituma origino na undugu wetu utaishia hapo hapoHahaaaaaa eti utashangaa tu the number you are calling is not reachable.........khaaaa
Kwani utanitumia uliyoedit sista? haya bana
Umeona eeh, mi kwa kweli sijawahi ona sista anayechunga kaka yake kiasi hiki, daah yaani sina raha navyofukunyuliwa, loh!!
cc atoto
Unashangaa mtu kakata kona ya hatari, nusura aparamie viti!! kama alikuja na gari analirudia kesho!!
Hapo kaona tu gubichwa na gushepu kwa nyuma, hajaona "infront" sasa mmmh. Unashangaa my kaka ananiweka ignore lift hadi jf hehehe
My kaka kwani unadhani sie tunakoseaga uumbaji wa Mungu basi... Tatizo dada zako tulivyo mmmh usije tu ukaanza kumlalamikia MunguIla mi sinaga tabia hiyo, kwanza siangaliagi kwa nia ya kukagua au kuthaminisha, wasi wasi wenu tu. Mi sikosoagi uumbaji wa Mungu bana
Mmh sina uhakika kama ntakutumia, ila ikitokea nimetuma basi ntatuma tu ya kuedit, maana Najua tu nikituma origino na undugu wetu utaishia hapo hapo
Teh waambie dada ako anawasalimiaHahaaaa mamiii hebu tufunge hii topic, ujue nacheka sana hapa tangu jana kila nikisoma comments zako naishia kucheka tu sista, hebu acha kunichekesha zaidi bana niko ofisini na watu wengine, khaaaaa!!