mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Ipo bana inaitwa nyumbani park sema imezoeleka pia kama samaki samaki
njoo ipo, mji kasoro bahari, huku ni raha tu!!
Kumbe eeh, safi sana, siku nikija moro nitapatafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo bana inaitwa nyumbani park sema imezoeleka pia kama samaki samaki
njoo ipo, mji kasoro bahari, huku ni raha tu!!
Au niweke picha yako ili uamini kwamba nakujua?
Kwa kweli usipokuja appointment inahairishwa kabisaaa, sipati picha watakavyonigawana usipokuwepo sista, itakuwa mteremko sana kwao
BTW moro nako kuna samaki samaki au Heaven Sent anatulisha sumu? mi najua ya bongo tu
Kwa atoto hata nisipowapa menu poa tu aisee, ilimradi tu nimpe basic need yake inatosha kabisa kwake
Acha kuwaza njoo moro bwana nikutoe out.
Karibuni Ufukwe wa Mindu
Hahaaa unataka unione live kabisa sista? seriously????
ufukwe wa mindu nilipitia jana. Palichangamka kiaina
Acha uoga basiii, hizi ofa natoaga kwa watu special mara moja kwa miaka10, shaurilo ichezee bahati.
Daaah ujue nilikuwa sijawasoma vizuri, kumbe mmeanzia mazungumzo mbali hukoooo, ndo nimewafuatilia vizuri nikaelewa. Sasa hapa najaribu kuimagine ndo kweli siku hiyo tunakutana wote atoto, Heaven Sent na cute b), haya na mimi mito ndo baba lao, khaaaaa!! akyanani siipatii picha hiyo siku!!
Sijui baada ya kuonana mtaendelea kunipenda hivi? mtaendelea kuniheshimu hivi? sijui ndo heshima itaporomoka kuanzia hapo? sijui na mimi nitaendela kuwapenda hivi hivi navowapenda online? yaani nina maswali mengi kichwani kuliko majibu!!
Akyanani I love anonymity
Ila kwa atoto sina wasiwasi kabisaaaa, nikishampa basic need yake hana shida tena na mimi, heshima itaongezeka mara dufu, sema ndo hivyo nije kichwa kichwa alosto daaah, misonyo hiyo sipati picha.
Dada mtumishi yeye atajikaza hivyo hivyo ili mradi asionyeshe kushtuka kwa cho chote ilihali yote kayaweka kumoyo. Huyu cute be ndo sijui kabisa kama ana kifua cha kuficha hisia zake, loh!!
Nawaza waza tu hapa ahaaaaaa!!
Mmmmmh mmmmmh mmhAcha uoga basiii, hizi ofa natoaga kwa watu special mara moja kwa miaka10, shaurilo ichezee bahati.
Try it at your own risk. Utaishia kumtreat yeyeMmh huna lolote, ni vile unajua I can't make it for sure ndo maana unaweka msisitiiizooo!!
Hahaha hata usiwaze, watoto wa watu tulivyo wapole hivi. Tuna aibu mwee, tutakuwa tu busy kung'ata vidole. Labda tu atoto ndo atakuwa busy kuangalia wallet yako. Afu Ujikute una mgutambi wako sasa teh. Ila honestly me ntaishia tu kucheka, ntakuwa naimagine kila mmoja wenu na fujo zake za humu
Try it at your own risk. Utaishia kumtreat yeye
Hahaha hata usiwaze, watoto wa watu tulivyo wapole hivi. Tuna aibu mwee, tutakuwa tu busy kung'ata vidole. Labda tu atoto ndo atakuwa busy kuangalia wallet yako. Afu Ujikute una mgutambi wako sasa teh. Ila honestly me ntaishia tu kucheka, ntakuwa naimagine kila mmoja wenu na fujo zake za humu
Mmmmmh mmmmmh mmh
Try it at your own risk. Utaishia kumtreat yeye